Habari wana jamii.
Nina tatizo limeanza kujitokeza miaka mitatu iliyopita na sasa naona linakuwa sugu. Ni kwamba paji langu la uso(kipumi) ngozi yake inasinyaa na kujikunja mfano wa mtu anayezeeka(age yangu ni 28).
Kiukweli sijawahi kumuona mtaalamu yeyote juu ya tatizo langu,lakini ninahitaji...
Pambaf! watu kama hawa huw wana dhiki mpaka kwenye ukucha ila wakifika hum full kukejel wenzao nahc we n first year umepata ka boom kanakupa wehu mwenzio unamuona kinyesi pambaf thaana,umeniboaa sn .
Daah binadam wabaya,we kama huna ushauri hebu kaa kimya unaongea pumba tupu ngoja yakufike.acheni madharau araaaa.sikiliza kaka achana na huyo,nakushauri hivi ufike moja kwa moja bodi uone wanasemaje lakin pia unaweza kwenda kwa viongoz wa dhehebu lako unakosali huw wanatoa support hasa kama ni...
Habarini wana jamvi
Naombeni wana jf mnipatie mfano wa mtu ambaye aliwahi
kuwa chuo kisha kuwa sponsored na heslb kwa bahat mbaya
aka disco na baadae akaamua kuomba chuo tena na kupata
pamoja na mkopo pasipo kudaiwa ule wa kwanza.Kama ww
uliwahi kuwa mhanga au una ndugu yalimsibu haya...
Habarini wana jamvi
Naombeni wana jf mnipatie mfano wa mtu ambaye aliwahi kuwa chuo kisha kuwa sponsored na heslb kwa bahat mbaya aka disco na baadae akaamua kuomba chuo tena na kupata pamoja na mkopo pasipo kudaiwa ule wa kwanza.Kama ww uliwahi kuwa mhanga au una ndugu yalimsibu haya tafadhali...
TAARIFA YA UFAFANUZI
Tunapenda kufafanua kuwa taarifa zinazosambazwa katika
baadhi ya mitandao ya kijamii kuwa orodha ya majina ya
waombaji wa Mikopo waliofanikiwa kwa mwaka wa masomo
2015/2016 imetoka sio za kweli. Kwa sasa, kazi ya
uchambuzi wa maombi ya mikopo yaliyowasilishwa Bodi ya...
Habarini vijana wenzangu,poleni na mchakato mzima wa ujazaji hizi fomu za helsb kwakuwa zimekuwa na changamoto tofauti.
Sasa kwa wale ambao katika fomu wamejaza details zao na kisha ku thibitisha(confirm) taarifa ambazo kwa namna moja ama nyingine zimekosewa naomba kusema kuwa huwezi kufanya...
heri ya mwaka mpya wandugu zanguni namshukuru jehovah kwa kuw nimefka salama,
ndugu zangu lililonikuta ni jambo kubwa ambalo nahitaj mnipe maana yake,mimi ni mkulima ambaye najituma ili kupata kidogo kwa ajili ya familia yangu.
sasa juzi wakati nipo shambani nilipigw butwaa kuona mahindi mbegu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.