Mzee Mwinyi leo kasema, kazi nzuri inayofanyika iwekewe mifumo mizuri ili kuwe na undelevu wake, bila mifumo ya uhakika kuna hatari ya kurudi nyuma na hata kupoteza juhudi nzuri zinazofanyika hivi sasa.
Ninachotaka uelewe ni kwamba ukiwa mnadhimu Mkuu sio lazima uje kuwa CDF...wafuatao waliwahi kuwa wanadhimu wakuu lakini hawakuwa ma-CDFs....
Brigadier General Tumainiel Kiwelu 1975-1980;
Major General Imrani Kombe 1980-1983;
Major General M.N. Mwakalindile 1983-1988;
Lieutenant General...
Hujaelewa nilichoeleza...pole
Sijakataa kuwa hao uliowataja hawakupitia Unadhimu Ukuu....ninachosema...it is not Automatic kwamba ukiwa mnadhimu Mkuu then lazima uje kuwa CDF
Kuna tofauti ya kuwa next in the line (ambayo ni Seniority) na kuwa Afisa Mnadhimu Mkuu...wale niliokutajia...kwa wakti ule kijeshi jeshi walikuwa senior kwa Mabeyo....General Mwakalindile alikuwa Mnadhimu Mkuu...ilipofika wakati wa kuteua CDF pamoja na kwamba alikuwa next to the retired...
Ni rank ndio nazungumzia....Infact walikwepo watatu amabo walikuwa Senior kwa Mabeyo...nao ni Lt Gen Kisampa, Lt Gen Mella na Lt Gen Makakala....wakati huo Mabeyo alikuwa Maj General...hao majamaa umri wao wa kustaafu ulikuwa nikaribu sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.