Walaaaaa mie kazi yangu kuangalia tu ila ts tym sas watu wamuache mange na mambo yake si kumfuatilia kwenye blog af wanakereka wanakuja huku kumuanzishia thread...mnafuataga nn huko u turn?muingiage kwenye blogs zngine...kwahiyo biashara nayoifanya ni kuwaambia kama mangenita anakukera acha...
Jamani kwanini msituliege?kutwa kuemana huko mitandaoni hamchoki?wengine mtakua hata mnashindwa kufanya majukumu yenu kisa mitandao ya kijamii kujibizana na watu hata msiowajua na wala hawana effect yoyote katka maisha yenu,yani utafikir hamna matatizo yenu binafsi ya kudeal nayo khaa...wengine...
Hahaha typing errror mama nawe unajua hili...nije kwa kasi kwani nalipwa na huyo mange au na nan?nashangaa tu mtu haumpend mtu af bado unamfuatilia eti umbea kwan hua mnalipwa?yani kuamkia kwenye IG na Blogs kujua umbea gan unaendelea as if mnalipwa au hamna vya kufanya kumbe wenyew mnamengi tuu...
HOD unamchukia sana Mangenita na mambo yake sas kwann hua unaenda kule kwa blog yake kusoma anavyoandika?si utulie uangaliage hata blogs za mapishi?
Am not anyone's fan lakini hii ya haumpend mtu af bado unamfuatilia inanishangaza sana kwann usifanye yako acha kufuatilia habar zake kama...
Haha nmechekaaa kama mwehu,nakumbuka akat tuko Advance kuna mmoja nlimuona uwii haikua kawaida ilikua tofaut na wengne naowaonaga,watu wakawa wanasema wale ambao zao zimetoka sana nje jua wanapenda sana kufanya matusi,haha sijui n kweli au utoto tu ule
Mapenzi yanaumiza na yanatesa ngumu kuelewa kama haujapitia,haya mambo ya wazaz kuingilia uhusiano yalinifanya kumpoteza mtu ambae nlimpenda kupita maelezo,miaka kibao imepita lakn sijaona km ule msemo wa time heals..ukifanya yake...lakn km kuna upendo wa kweli kati yenu mtatafuta njia ya...
Pole sana,msamehe huyo mama lakini ili umsamehe inabid uongee nae akuambie ukweli,na akupe sabab kwanini hakuwa muwaz tangu mwanzo lakini endelea kuisaidia familia kama kawaida lakini kaa chini ongea nae ili uwe na aman na uendeler kawasaidia kwa moyo mmoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.