Wandugu naomba mnisadie kufahamu historia ya sabasaba na uhusiao wake na maonyesho ya biashara nimekuwa nikiangalia picha za matukio ya jana yaani 7/7/2011 kwenye vyombo kadhaa ya habari cha kushangaza kutokuwa na makazo au msisitizo kwenye habari au matukio ya biashara kitu ambacho kimenipa...
Kumekuwapo na misuguano mingi katika ndoa nyingi hapa kwetu Tz na sehemu nyingine za dunia hii swali ni Je kupeana likizo kwenye ndoa mfano kila mwaka mnakuwa na mwezi mmoja au wiki ya kuishi maisha ya single (freedom kama hana ndoa) inaweza kuwa na manufaa?
mkipata wasaa jaribuni kuangalia...
The Guinean Beauty and Chambermaid (Nafissatou Diallo) of the Sofitel Hotel in Manhattan New York who was allegedly forced to have oral sex by IMF Boss, Dominique Strauss-Kahn.
Kuhusu itikadi za vyama nafikiri kila mtu yuko huru.kwa mfano kama angevalia mvazi ya kidini napo tunyesema anatangaza imani yake?siku itafika mwenyewe atavichoma moto vyote
Kuna kitu nilikiona mitaa ya Guangzhou China ni kama plag unachomeka kwenye switch socket mojawapo inafanya meter ipunguze speed sana.Ila siku elewa kama technolojia hiyo inaweza fanya kazi hata kwenye LUKU.
At the cocktail party, one woman said to another, Arent you wearing your wedding ring on the wrong finger? The other replied, Yes I am, I married the wrong man.
Hongera mkuu kwa malelezo yako lakini naomba nitofautiane nawe kidogo kwenye blue.
Nahisi nawe utakuwa mmojawapo wa professinal ulizo zitaja hapo juu suala la satellite town bado ni theory tu unafiki Huko Bunju, Buyuni, Mwanagati, twangoma etc.ndio yangeweza kuwa active swali la kujiuliza ni je...
Mkuu naunga mkono maoni yako,sambamaba na hilo tujiulize panapotekea matukio kama hayo nani anapaswa kuwa wakwanza fika sehemu ya tukio waandishi wa habari au polisi?.Kama hakutakuwa na maelezo ya kutosha juu ya tuhuma hizi ni wazi kutegemea polisi kama walinzi wa usalama wa raia itakuwa haina...
Mkuu naona kama vile pendekezo lako limekaa ki maslahi zaidi bila kuangalia hali zetu duni za maisha.Naamini huu utakuwa ufumbuzi wa kufanya watoto wa wasikini wasiende shule kwa kukosa nauli.
Maoni yangu daladala kutokuwa na konda,yaani gari linakuwa na dereva na mashine ya kutumbukiza pesa au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.