Waheshimu baba na mama upate miaka mingi na heri duniani................ingawaje nililelewa na mzazi mmoja..tena baba,alikua akinifanyia kila kitu,na hakuwahi kuniambia tatizo hata moja la ma a yangu.....Mama alinifia mikononi pale bugando baada ya kumuuguza kwa miezi minne.Nawapenda wazazi...
Wajuvi wa mambo ya sheria na ilimu dunia mnijuze,hivi kuna tofauti siku zinavyohesabiwa mtu akiwa gerezani na huku uraiani???baadhi husema eti gerezani siku moja huhesabiwa kwa masaa 12,na sio 24 kama huku uraiani.........
Kisa cha Marehemu Mwivano Mwambashi Kupaza
Eneo la tukio....
Ilikuwa ni Julai 30 1999, mwanamke mmoja aliyetajwa kwa jina la Brenda Dement nchini Marekani aliyekuwa akiishi kwenye mji wa Barabo Wisconsin Kaskazini mwa Marekani, alikuwa Picnic na wanae pamoja na marafiki zake wawili kandokando...
Out of curiosity,kwanini hizi hoteli mbili watawala wa awamu zote zilizopita na hii iliyopo hawazizungumzii kuzirudisha??nini ilikua sababu ya kubakia magofu mpaka leo hii??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.