hakuna uhuru usio na mipaka
vyombo vya habari hasa Clouds Fm hasa kipindi cha XXL na Efm kumekuwa na vijembe vinarushwa kwa RC mara kwa mara hii inaashiria kweli hawa kitu walikuwa nalao jambo
Kuna kitu alikuwa anakizungumza Dk magufuli wakati wa kampeni zake kuwa kuna watu ndani ya CCM mchana wanakuwa CCM usikuu wanakuwa Vyama vingine...!! yamkini kuna kitu kimefichika humu ndani juu ya issue ya huyu aliyefukuzwa na hawa waliopewa onyo.
Muda mwingine tuwe wakweli tu!! kwani kuna timu ambayo haina mtu mwenye majukumu ya kutibua mbinu za wapinzani? Man U vs Liverpool umeangalia mpira umeona jinsi Felain anavyotibua mipango ya wapinzania hizo kila mtu uwanjani anamajukumu yake aliyopewa na mwalimu hivo kumkosoa fulani kisa yupo...
Tusidanganyane..!! Issue sio Bar kufunguliwa SAA kumi sema sema wanywaji wakuu hella zao zilikuwa za madili haram ndio wakileta heshima huko Bar sasahv mianya imefungwa kwa madili bar hakukaliki
Habari zenu wakubwa…!!
Leo ningependa kutoa kile ambacho kimejiri baada ya huyu binti aliyenifanyia haya niliyoyatoa katika uzi huu kunipigia sim na kuanza kulalamika kuwa haoni ata salam yangu na kuenda mbali zaidi kuniambia kafika katoa chuo kuna issue kaja kuzifuatilia … kwa bahati mzuri...
Kweli mambo yamebadilikasikuhizi CDM ikisikia mtu kataja UFISADI basi wao ndio wanarusha mawe kumtupia aliyeta hilo jina ..... kweli Lo... kabadili chama sasa kimekuwa cha kupigania mafisadi wakae sight
Nakumbuka hii post mpaka nacheka yani … nilishasema watanzania tusijaribie kiongozi kwa maana ata yesu alijaribiwa na shetani akiambiwa kama kweli we ni mwana wa Mungu basi jirushe kwenye mnara huu na Baba yako atatuma malaika waje kusaidie usiumie na Yesu akamjibu kuwa Mungu hajaribiwi …...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.