Search results

  1. PlanckScale

    AzamPay | AzamPesa ni nini?

    Juzi juzi hapa nimeona kwenye news wame signup with Equity bank...
  2. PlanckScale

    AzamPay | AzamPesa ni nini?

    Jee application development na core architecture za hii service ziko bongo? Corporate Tax zao wanalipia bongo, au ni offshore company fulani hivi? Jee huyu CEO, Firas Ahmad, ni mbongo?
  3. PlanckScale

    Natafuta intern au kazi katika kada ya information technology

    Mkuu, angalia topic kisha ndio uposti. Hauta pana ushauri ukivamia posti!
  4. PlanckScale

    Natafuta intern au kazi katika kada ya information technology

    Umejieleza vizuri sana! Naomba tuongee inbox...
  5. PlanckScale

    Data science

    Wanaoesema kwamba ajira haziko Bongo wanakosea. Fursa zipo nyingi, tena nyingi sana. Kila sehemu ya biashara, kubwa au ndogo ina kusanya data. Kama serikalini kuna ma statisticians, basi the next level ya hapo ni Data Analitics. Data scientist au Data Analyst anaweza saidia kuchambua hizo data...
  6. PlanckScale

    Waafrika tumefikia kwenye hatua mbaya sana. Baadhi ya wachungaji wa kilokole wamejipa uungu mtu, wanapenda kutukuzwa, kuabudiwa na kusujudiwa

    Wakristo wengi wanasali wenyewe bila kuongozwa na mchungaji, kwahiyo hamna tofauti na waislamu. Lakini tujiulize ilikuaje tukakubali hizi dini za kigeni mpaka leo wakati tunaona wazi sio za kwetu, bali za waarabu na wayahudi? Sisi tulikuwepo na imani zetu miaka mingi tu, kabla hata ya Musa.
  7. PlanckScale

    Msc in Data Science vs Msc in Mathematical Modelling

    Nakubaliana na wewe... Data science is too narrow. Ukitafuta degree usijiweke kwenye njia inayokufunga. Always diversify na weka akilini uwe na options maana hujui baadae kazi zitatoka wapi. Hivi sasa niko katika mchakato wa kutengeneza "data strategy" ya department yangu, kwahiyo nina ukaribu...
  8. PlanckScale

    FlaxSeed/Lin Seed ni mbegu gani kwa kiswahili

    Duuh...mbona hiyo medical ushauri hapo juu unasema flaxseed ni dawa ya kutibu Utasa kwa wanaume? Aliyesema inasababisha hakuelewa kinyamwezi nini?
  9. PlanckScale

    Twin turbo zinafungukaje

    Sorry,...hapana. nipale tuu unapoongeza turbo. Nahata hivyo una badilisha pole pole, kimoja kimoja pale unapoona kifaa kimeishiwa nguvu au hakihimili nguvu mpya ya gari. Ila mwisho wasiku inakubidi...
  10. PlanckScale

    Twin turbo zinafungukaje

    Ndio, lazima ubadili ili kufikia power unayo itaka. Kitu kikubwa ambacho engine computer inafanya ni kumechisha air na petroli ili zikiingia kwenye engine ziilipuke vizuri kikemia (correct air/fuel ratio). Sasa ili kupata the right air/fuel ratio lazima injector zimachi na turbo. Ukiweka turbo...
  11. PlanckScale

    Twin turbo zinafungukaje

    Nyongeza, sorry kama ni nje ya maada... Ukichange turbo ili upate power zaidi, basi jua inabidi ubadilishe mlolongo mrefu wa parts nyingine ambavyo vinatakiwa kusupport turbo kubwa. Hii inahitaji uwe na roho ngumu 😄... Kwa mfano, Lazima ubadilishe: Exahust system Fuel Injectors Fuel pump...
  12. PlanckScale

    Twin turbo zinafungukaje

    Kwahiyo hapo kuna parts kama waste-gate actuator na boost controller ambazo ni umuhimu katika kucontrol ujazo wa hewa kwenye engine. Waste-gate inapokea pressure signal from boost controller, ambayo ndio inasetiwa kuiambia waste gate iistopishe turbo at a particular pressure of your choosing...
  13. PlanckScale

    Twin turbo zinafungukaje

    Also, you have to set a reference pressure level, which mostly is based on intake manifold pressure. Kwenye gari yangu, turbo nimeiseti ku build pressure mpaka 22psi. Baada ya hapo pressure ina kuwa released through the waste gate (kimlango kidogo ambacho kiko kwenye exhaust side ya turbo na...
  14. PlanckScale

    Tanzanian developers, Software engineers tujadili hii multi billion dollar idea

    Mkuu, kwani NALA ilitengenezwa nje au Benji ndie alikwenda nje kimasomo?
  15. PlanckScale

    Is there a periodic technology symposium conference in Tanzania?

    Jee katika hizi smaller events organized by hubs, zipi are worth a while? Of course it may depend on a specific tech area, but in genera,l which are of significance that I should try to attend?
  16. PlanckScale

    Is there a periodic technology symposium conference in Tanzania?

    Asante kwa information. Mimi najaribu kujifunza hali ya IT ilivyo nchini na kuangalia investments opportunities.
  17. PlanckScale

    Is there a periodic technology symposium conference in Tanzania?

    Asante. Was there any this year? Any upcoming event of interest? Thanks again
  18. PlanckScale

    Is there a periodic technology symposium conference in Tanzania?

    Thanks for your response, but please provide more information, if you don't mind. Which, where, when and how to register in order to attend.
  19. PlanckScale

    Is there a periodic technology symposium conference in Tanzania?

    I am interested in attending conferences or symposiums where there is discussions on ICT research, opportunities, new solution seeking partners, or just a place conducive for techies to network. So, is there a periodic technology symposium conference in Tanzania that take place may be twice or...
  20. PlanckScale

    Naumia sana kubaguliwa na wazungu kila wakati

    Ndio mdogo wangu, nalijua hilo tatizo la Down South. Huko ndio ovyo kabisa. Na kuhusu kumpigia kura Trump, sio tu Rednecks, hata wale wanao jifanya wanapenda diversity walimpigia kura Trump. Afadhali Rednecks wapo wazi na ubaguzi, wabaya ni wale wa Wall street wanao jifanya ni marafiki zako...
Back
Top Bottom