Akipata huo mkopo atajua ladha ya kila bia, wanawake na huenda akavuta hata kavitz au ist ka kutembelea bar za daresalaam. Atakuja kukumbuka utt, pesa zikiwa zimesalia laki tano tu. Chezea mkopo wewe!
Nakushauri uachane na huo mkopo. Unaweza kufikiri 50m, ni pesa nyingi, lakini kwa hali ya uchumi ilivyo sasa, ni pesa kidogo sana.
Badala yake save benki hiyo pesa ambayo ungelipia huo mkopo. Iweke kwenye fixed deposit account kwa miaka mitano. Tanzania commercial bank
Baada ya miaka mitano...
Mimi nina Baed ya oxford na Maed ya Cambridge, experience ya 20 years. Kama mtanilipa $10,900/= kwa mwezi, furnished house, na gari ya kutembelea nije.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.