ilikuwa mwanza nimewahi balaa cjakaa sana nikamuona waziri shukuru kawambwa moyoni nikajisemea "nakaa karibu na waziri" du umefika mda nikawa nyuma yake ,kilichotokea mara baada ya kuingia sikuelewa nikaambiwa wewe huku anakoenda waziri ni first class nikajiangalia mara mbili mbili du cjui yule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.