Mhh...kweli shule zetu za kata majanga matupu! Tena baadhi ya viongoz wengi waliosoma shule kongwe za serikali na kufanikiwa tena kwa viwango vikubwa,hata hawazikumbuki shule walizo zipitia hata kuzisaidia ili ziwe na hadhi! Looh enyi watu wa namna hiyo si vizuri,hebu kumbukeni shule mlizopitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.