Taarifa inakuwa imeshapelekwa kwenye ubongo kuwa mfukoni patupu hivyo ubongo wenyewe unaanza kuwa mtupu kama mifuko ilivyo hivyo ubongo unakuwa na njaa kabla ya tumbo.
Sasa ukizichanganya hizo njaa mbili za ubongo na tumbo njaa yake inakuwa kama ya Maharage Chande mkuu. Ahsante.
Kiongozi umesema ushuru ni 2500 lakini pia kuna mdau hapo juu Itscharlie amesafirisha magunia kadhaa ya mchele na amesema wafanyabiashara wamelalamika kuwa ushuru umepanda mpaka 4500 yupi yuko sahihi kati yako na yeye kiongozi...?
Aisee ukipata upendo kwa mke au wake zako kwa dhati na ukaona kabisa hapa napendwa huwa kuna faraja kubwa sana kwa kweli.
Nashkuru sana kiongozi nawe ubarikiwe pia.
Kiukweli kuna baadhi ya ndugu ni wasumbufu kupita maelezo, inafikia mpaka mtu anaona ni bora asiwe na mawasiliano nao ili tu kuepuka usumbufu wao kiongozi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.