Wewe unamuona kama anamiliki hivyo ndio utajili na kuanza kumhisia mwenzio kuwa anauza au anafanya biashara haramu? wewe kama una ushahidi wa biashara haramu anayofanya ulete na kama huleti basi wewe wewe hufai kwenye jamii hii!! unajua kadaka mechi ngapi na kaanza mpira akiwa na umri gani? una...
Unajua huyu mama asisifiwe bure bana hizo ni takitiksi zake binafsi katika kuendesha nchi yake lkn sio kuwa yuko sahihi,..sasa unataka na ya Rais wetu iuzwe ndio ujue kama naye ni kiongozi mzuri? anaweza kweli kuiuza ndege yake lkn nchi yenyewe akawa kashawakabidhi wakoloni wa sasa,na ndege...
wataje kabisa sio ina unalo halafu unakaa kimya sasa tutajua lini ,unafanya siri hata hapa,,masabuli mkubwa wewe semaaa,, wanaua watoto wetu ujue..unafiki mchezo mtoto anaaza darasa la kwanza anawaza kujifunza ngumi na kula kubeli si kwa jili ya kufundishwa na hao hao wehu
huo ndio upimbi kabisa sema akina nani kama habari yako haijakuwa tayari sasa jina unalo la nini sasa kwanini husemi unatuhabarisha nini kaaa kimyaaa kama domo zege masabuli wewe.
acha hatua watakazochukuiliwa ziwe hvyo bana sheria ifuate mkondo wake wanavyotuharibia watoto wetu mtaani na kutudhalilisha mbele za wake zetu na kuonekana kuwa sie sio watafutaji.sasa hayo ndio negativu ifekiti ya wanayoyafanya.acha waadhibiwe tu.huyu akikukuta unavuka bara bara hakuhurumii na...
unajua huwezi kujua nani adui au rafiki kwani ukimuona muuza hayo madawa wewe mwache tu aende unaweza kujikuta unakufa vibaya kwa kutoa ushahidi acha kwanza wenyewe siku wakizinguana kwenye mauzo ndio kitakachotusaidia kuwapata .lkn hivi hivi kama alivyosema pinda ukiwataja nchi itayumba...
wewe waache hawa wenyewe watakuja tu,sisi chakufanya ni kuimarisha miondo mbinu yote pale bandarini ili iwe ya kimataifa zaidi watakuja na kodi tutapandisha zaidi bana ,siku ozte ukiwa na kitu kizuri bana wataeja watakuja wenyewe bana hahahaha,,watakufa wale ipo siku atatoka kigali hadi dar...
Huyu kama mtamlazimisha kulipa hili panga la dhahabu mtakuwa mnafanya kosa anajua siri nyingi za serikali anaweza kukimbilia Rwanda sana haya..mtafanyaje sasa ehe
Poleni sana sasa,,sasa nyie mkikosa darasani hamji kusema hapa kama mnatega vipindi ,matokeo ya mnayoyafanya yakifanyiwa kazi ndio mnakuja hapa kutafuta matusi ya kwenda kuwatukana waaajili wenu nyie wajibikeni freshi muone kama hamtathaminiwa na kusifiwa,sasa mnataka nini sasa .nyie mnaonekana...
unajua kwanza kabisa sie wenyewe EAC hatuwahitaji kama wanavyodhani waliowengi ila sema tu wengi wetu ni waoga tunadhani tukiwa pamoja ndio tutapiga hatua kiuchumi kumbe sio kweli..sisi wenyewe nchi yetu nikubwa sana tunaweza kufanya biashara ndani ya tanzania nchi yetu nikubwa sana, hata...
Unajua serikali ya jamhuri ya Muungano inatatizo makubwa hawa watu wapeni nchi yao kwanza,kwani wanaharibu sio tu jina la zenji bali la Tanzania ,haya matukio ya watu kupigwa risasi,kumwagiwa tindi kali serikali imelikubali kwani kama nchi ina usalama wa taifa kweli ,kwanzia padri...
Nyerere ni Rais wa kwanza hakukosea kutupeleka kwenye sera za kijamaaa alipatia,,sema tu nchi zlizokuwa kwenye mambo hayo ya ujamaa ndizo zlizokuja kuzidiwa baadae na mfumo wa kibepari...kama hapo bongo tungekuwa na mfumo wakibebari tokea zamani wengi hapo bongo nchi ingekuwa ilishauzwa zamani...
Inatakiwa kuwa hivyo tu na si vinginevyo kwanini hela ya wengine itumike nchini kwetu jamani..sasa hizi ni dharau kubwa sana kufanya biashara ndani ya nchi kwa kutumia hela za watu wengine wakati hela yetu ipo!! inamana washauri wa Rais mie huwa siwaelewi hawa ni nani huwa anawachagua na huwa...
wagonjwa ni wengi sana sio mpaka aombewe peka yake wewe!! alienda kweli jela lkn umeona watu weusi walivyokuwa masikini huko kwake,aombewe kama wengine tu,,ukombozi wake kwa nchi ile afadhali alichokufanya mgabe kuwafukuza wazungu ,japo watu wake wengi ni masikini lkn sio kama kuwa mtumwa...
Ule umoja umejengewa ukumbi nchi zenye rasilimali zote hizi bado ukumbi wa mikutano tunajengewa,viongozi wetu ni mawakala wa nchi za ughaibuni sio viongozi wetu kabisa mkae mkijua sasa cameroon akitoa masharti ya kupata misaada yake utabishaje sasa umeona.
Kwanza nchi zetu tuwe huru ikiwa ni...
Wasomi wetu wanafanya kazi sana lkn huoni wakiandamana kutafuta haki zao na madai mengine wanafukuzwa huko vyuoni !! Na wakifukuzwa hawaungwi mkono hata na wazazi wao au wanachi wa kawaida kutaka kujua kwanini wanafunzi wa vyuoni wanafukuzwa bila sababu,watu wanakaaa kimya tu na kuanza kusema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.