kawaida itatuppeleka mpaka wapi hii, kama ni kodi halali mbona hakuna risiti? Tunabaki kulalamikia mambo kumbe wenyewe twayaendekeza! rushwaxrushwa kila kona
tehe tehe! kwahiyo kuhonga ndo heshima, kama ndo hivyo siwaweke bayana kua tunatakiwa kuheshimu taaluma kwa gharama fulani then watoe stakabadhi! taaluma yangu je itaheshimiwa lini? au unamaslahi? acheni kutetea wizi huu, mie nililipia lkn kumbuka ni watanzania wangapi watafanya hivyo hadi lini...
Waombaji wa kazi tuna shughuli pevu sana, Leo tar 8, Oct nimeenda mahakama kuhakikiwa nakala za vyeti vyangu lakin huko ni wiz mtupu, nikaambiwa nakala 1 ni buku 2 nilikua nazo 5 na jamaangu alikua nazo kama 10 ikatubidi tulipie hiyo pesa, kimasihala nikauliza hela hiyo niyanini, je tunalipia...
Kiukweli hata mie kama mtaalam wa mambo ya maendeleo ya jamii sioni jitihada za makusudi za serikali ktk kuajili wataalamu wa maendeleo ya jamii kwa wingi kama ambavyo labda inafanya kwa watendaji wa kata au mafisa wengine waliopo kwa wingi kwenye jaamii zetu.
Mie niliwaambia hivi
(Sorry Madame/Sir, Because of financial difficulties that I am facing right now, I won't be able to give 50,000 Tshs as you ordered, But believe me I suggest you deduct from the amount that will be given to me as salary (From 1,550,000) another advantage is that you will...
hizi kazi zilitangazwa kitambokama co mwezi wa 5 basi wa 6, mimi pia nimeitwa lkn sijatuma hela, kuna sister angu naye walisha mchukuliia elfu 30 last year from there hata hawakupatikana tena, this time wamekuja kivingine, mie nimewatumia ujumbe wanielekeze zilipo ofis zao hata hawataki. Last...
mwenyewe still nasubiri majibu ya wadau, coz wameniita kwenye interview hawa jamaa lkn napata utata kwani kama ilivyo kwa matapeli wengine, nao wanataka hela kama elfu 50 za registration!!! tusaidiane waungwana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.