Ni miezi mi nne sasa toka nilipie service line hapa nyakato mwanza, ila kila nikiuliza naambiwa nguzo hakuna wakati nilishasikia mtu akilipia nguzo anatakiwa awe amefungiwa umeme ndani ya wiki moja? embu mniweke sawa kuhusu hilo wanaojua[emoji41] kama haiwezekani mnirudishie hela yangu nikanunue...
habarini za asubuhi ndugu,
Mi nataka kujua tuu kama haya mashirika ya hifadhi ya mifuko ya kijamii yanatoa hela za wanachama wake au wameshasitisha tena, naomba mwenye majibu ya uhakika aniambie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.