Huu mfano wako hauendani kabisa, Manji anaweza akawa ni tajiri sana ila hana influence, Money is power but influence is more than power. Diamond ana influence kubwa sana na ndio maana mpk dk hii wanadema dema tu kutoa maamuzi
Kafungue account kwenye scheme inaitwa Umoja Fund inayomilikiwa na UTT. It will take just few minutes as long as u have your Identity (any recognized) with u
Utapata benefits zote za bank but most of all your savings will grow by more than 12% per annum. This is flat rate regardless of who you...
In addition kwenye hilo swali...
Hofu, wasiwasi na moyo kwenda kasi... si lazima kabla ya tendo la ndoa, anytime like unasubiri kuingia kwenye interview.. to me huwa inanitokea muda wowote.
Is It true ukiweka asali kwenye maziwa or chai ya moto It change to glucose, hence kujiweka kwenye mazingira ya kupata magonjwa kama kisukari?
Je, kutokwa na jasho jingi hasa usiku ukiwa umelala ni dalili za kisukari?
Hey, I didn't mean to provoke Munkari or anyone. If u read my comment right, I teased Munkari ila ukiendelea nimekuwa serious with what the thread want. Hata mtoa mada can read my point. Usiwe negative kwa kila jambo bana.
Kwahiyo aliendeleze libeneke tu hamna lolote zaidi ya mioyo kuwasiliana...lol.
Nazingua, mwanangu if it is for real then do it. Ukifanikiwa big up sana maana pamoja na rehab waathirika wachache wa unga huacha for good.
A good matured girl sidhani kama angenikimbia kwa huo uamuzi wa kukimbilia luxurious lazima angeniweka chini tudiscuss na pia kwa dsm gari ni basic need. Ningekuwa -------- kama ningekimbilia gari ya gharama but i went for cheap and budget one ambayo haiwezi niharibia mipango yangu ya baadae...
Point Tiba.
Sikumshirikisha kabisa but i thought itakuwa surprise nzuri ambayo hata yeye angefurahi. Na kweli nilipomuonyesha alionyesha furaha sana na akashangaa ila ndo hivyo baada ya siku mbili tatu ndo akanitwanga na msg.
Tulipendana sana, akiwa UDSM na mimi MU na bado tulitembeleana bila kuchoka. Alibahatika kwenda nje ya nchi (a week school trip), aliniletea suit pamoja na ukubwa wake niliivaa. Mara ya kwanza kuvaa suit kanivalisha yeye.
Tulimaliza shule, nyumbani alifahamika na akazoeleka. Alipata tempo...
I believe this is a conspiracy na aliyeplan alijua haya yanayoendelea lazima yangetokea na I also believe ameshaandaa mwisho wake.
Bonge la movie ( Sterling almanusura auwawe picha liishe I.e. ZZK instead akaextend kwa kuomba mahakama iamrishe CDM kutomdiscuss.
Si lazima kila thread ureply, hii taarifa tu.
Kama unakosa cha kuandika, soma, kaa kimya usibiri kesho baada ya press conference, labda ndio utapata cha kuandika.
Mkuu kale kamji Macau na chenyewe kana serikali yake tofauti na Beijing.
Sheria kidogo zinafanana na Hong Kong, hatochezea kitanzi ila miaka kadhaa itamuhusu na possibility kubwa ni miaka 8.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.