Salamu kwenu wakuu na heri ya mwaka mpya 2018, naomba kuelekezwa namna ya kufanya factor default kwenye king'amuzi cha star tymes, chenye rangi nyeupe kitumiacho dish. Maana nimeenda menu halafu system setting then default setting ikanijibu, dercorder pin is locked. Msaada wakuu!
salamu wakuu! wapi naweza kupata tv ya flat ambayo ni touch screen, na nyingine yenye uwezo wa kugawanya picha tatu au nne tofauti at the same time niwe naziona, eg nina receiver zaidi ya moja na zote niwe naona picha zake kwa pamoja kwenye tv japo najua sauti itatoka kwenye moja ya hizo picha...
kuna mchungaji anaitwa nabii jb malisa kanisa lake linaitwa ukombozi church of all nation, ukienda pale haya makitu tunayojadili pale ni kama movie yaani kitu nimejifunza watu tunaishi katika maisha ambayo uhalisia sio wetu, yaani no derivarance no freedom, we need derivarance!
Kuna siku nilikuwa nataka kumtumia msg demu waangu," switie nimeshafika home mmmmwwwaaaahhh" ile kutuma bana nikatuma kwa bosi wangu wa kiume ofisini, jamaa alinipigia ila sikupokea maana nilikuwa na kimeo alinipa ckumalizia ofisin,,,two days later nikawa namtumia msg swtie naangalia last msg...
kwema wakuu? km una dish na dercoder ya zamani ya zuku kwa maana zile dercoder kubwa na nyuma ina sehemu ya usb basi huna haja ya kuiweka kapuni, kuna mbinu zaidi ya kukufanya uifurahie, kwa imfo zaidi just pm! karibuni!
Wanajamvi kwema!
Naomba kujuzwa wakuu, eti inawezekana mtu akawa anaishi maisha ya kawaida kwa maana ya kuishi duniani, huku akiwa tayari ameshachukuliwa msukule? Hembu nijuzeni wakuu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.