Kwa wadau wanaoishi Marekani..haswa wa Houston. Kuna tetesi kwamba Dr Tenende wa Houston na wenzake wachache wako mbioni kuandaa mkutano wa diaspora ya watanzania wanaoishi marekani. Cha kushangaza ni kwamba waandaaji hawajafanya jitihada zozote za kuwashirikisha watanzania wengine katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.