Machangudoa wengi walioko Dar wanatoka Kilimanjaro na Arusha. Je hao ni Wanyakyusa na Wahaya? Mtoa mada acha ulimbukeni wa makabila. Nitajie kabila ambalo hawavui chupi.
Mambo ya Adobephoto hayo. Mie haini ingii akilini. Kisayansi mtu anae funguliwa buti hawezi kuwa na nguvu kwani atashindwa bana pumnzi ili ku restore energy. Angalia wamama wakati wa kujifungua wanavyo pata shida. Hivyo Cr7 asingeweza cheza mpira kwa nguvu. Acheni uzushi.
Wakati nipo Mkwawa mwl mmoja toka Japani alikuwa anaitwa Taka Uchi. Ghana ipo Kumasi ni mji. Ukienda Kibosho wanasalimiana hivi, Nantombe sir, kiitikio Aika -----.
Walishindwa tengeneza katiba safi wakati wa ujana wao leo yamewashinda wanataka kututengenezea katiba mbovu. Eti Tanzania nchi changa Rais asipunguziwe madaraka. Katiba sasa iundwe na vijana ambao tuko wengi na wazee watupishe.
Hivi hawa watu wa Kauma, Mnyamasi, Mwese, Kalema, Rwega kule Mpanda na wao wanataka gesi itoko Mtwara kupitia Ruvuma ili viwanda vya kule vipate nishati. Hivi Dar kuna chimbwa dhahabu au shaba? Mtwara komaeni hakuna gesi kutoka.
hata Musa alimwua yule mmisiri kwa kumuokoa ndugu yake. Vivyo hivyo wana wa kwanza wa wamisri walikufa kama lipizo kwa mabaya waliyo watenda wana wa Ibrahim. Hivyo kumuombea kufa ni kunusuru wengine wasife wapate kupona. Kufa bwana Manumba.
Buda hana la kumjibu Dr. Kikwete alikataa kuwekwa kwene bench na Dr Slaa wakati wa uchaguzi kwa kuogopa hoja nzito. Huyu ni Dr bwana hajatunukiwa amekaa darasani na akatetea research yake mbele ya ma prof. Buda hana jipya alianza ccm ooh nitagombea urais wakamtimua, huku nako anataka kuleta...
Kama uchumba hadi mitandaoni mmekwisha. Tafuta unae muona huyo hawezi danganya tabia yake ila wa huku atajituliza kwa muda ngoja uoe utaona cha mtema kuni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.