Aisee VODACOM Mpesa ni janga kubwa sana!!!!
Mnachukueje hela niliyotuma halafu mnasema iko hewani?
Yani niliyemtumia hajapokea na kwangu imetoka. Halafu siwezi rudishiwa mpaka nisubiri masaa 24 na mtu yuko kwenye emergency ya matibabu.
Hivi mnajiona mko sawa kweli!!!?
Hii huduma ya Mpesa...
Ndio ngoma inarudi hio!! 3rd wave Omicron. Sema hii haitishi sana. Wameteleza kwenye formula.
Nakumbuka 2019 miezi ya mwishoni Kama hiihii zilikuja post kama hizi hizi humu JF kabla mamlaka zozote Afrika hazijajua chochote kuhusu Corona.
Nikiwa kama mtaalam wa magonjwa ambukizi niliona JF...
Vipi kuhusu MKOMBOZI!??
Mimi hawa CRDB nasubiri mkopo uishe tu nitawapotea hawataamini.
CRDB, VODACOM na CCM (ya akina JK, Nape na Makamna) ni WAHUNI na MAJAMBAZI na ADUI wakubwa kwa walalahoi hapa Bongo.
Hongera innocent kwa kutafsiri vitabu. Tafadhali jiunge na TedX Talks zinazorushwa YouTube ili utafsiri zile video zao kwa Kiswahili. Zitasaidia SANA wa tu.
Mimi imenitokea hiyo mwaka huu tu. Nilimfungulia wife biashara. Kwa miaka mi 4 imeenda vizuri sana japo vitu vya ajabu ajabu tulikua tunaona na kupuuza tu (maiti za kunguru kwenye pande 4 za eneo nakadhalika) ila mwezi wa kwanza tukaanza kuona vinyesi mlangoni. Wakifagia baada ya siku 2 tunakuta...
Huyo mwenye mke ambae alitapeliwa laki 7 na 60 hata baada ya Maelezo ya kina katika kwa Mme wake mimi nashauri amuache.
Hamna kitu hapo. Na kama amezaa nae asiendelee na aombe Mungu watoto wachukue akili za baba!!
Huyo make mzigo. Hehehe.
Hivi kwani hizi nafasi na zingine kama hizi haziwezi kutangazwa watu wakafanya application kama kazi zingine tu. Hata uwaziri, wabunge hawawezi kufanya application ya nafasi hizo na Rais kuangalia vigezo na masharti na appraisal letters.
Maana inawezekana kabisa asilimia kubwa ya hawa watu...
Sumaye huenda alikua pandikizi wa CCM kama ambavyo Lissu ni pandikizi wa mabeberu.
Ilikua risk kumpa uenyekiti wa chadema kama ambavyo ni risk na kujitakia maafa na laana kumpa Lissu uraisi.
Mijitu ya CHADEMA ni kuikazia hapo hapo tu na ikiwezekana zaidi. Hatuwezi achia hii nchi vibaraka wa mabeberu na mabwana zao waje kuifanya watakavyo.
Kama wanashida ya vilainishi visambazwe kwa wanachama wao
Eti mTanzania wa kawaida atamudu vipi dola 100? Sasa mtanzania wa kawaida anaenda kufanya nini nje ya nchi kipindi hichi?
Mwanafunzi anaesoma nje ya nchi ni dhahir ana uwezo ndio maana hajasoma hapa. (Wenye ufadhili lazima watapewa utaratibu.)
Mgonjwa ambae an agenda kutibiwa nje ni LA IMA...
Hahahahahaha!! Kilichonitokea miezi kadhaa baada ya hii post dah!!
Nimecheka sana kuiona miaka 7 baadae!!
Hahaha JF bhana!!
Ila kwa kifupi hizo mbegu ACHANA NAZO KABISA!! Especially kama wewe sio kabila moja nao.
Full stop!
Habari waungwana.
Miaka 6 iliyopita nilionyesha doubts zangu kuhusu chanjo ya Rubella iliyoletwa nchini kwetu.
Nashukuru sana ule mpango haukupita nchi nzima na nina fikiri sababu kubwa ni tulivyompata huyu kiongozi wetu JPM.
Sasa kama mtaalam tena nina wasihi msije kukimbilia chanjo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.