Kitu ambacho watu wengi hawajui ni kuwa hata al ahaly nae ana tumbo joto kuna uwezekano nae asitoboe, ili kujiwekea Mazingira mazuri inabidi amfunge kwanza CRB
Kama umeangalia mpira vizuri medeama hawajacheza mpira wa kumfunga yang, nlichokiona yanga alikosea plan ya kumfunga CRB, Leo waarabu walikua frustrated sana na hyo yanga wakija wacheze hivo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.