Imewaangalia mamelod mara kadhaa kwene mechi zao, ile mbinu walotumia jana ni size ya mwisho, unless ni kushambulia mwanzo mwisho. Angalia game na TP Mazembe ilikua ni chupuchupu tp walikksa magoli ya wazi kwao walikua wanakufa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.