Halafu Arusha haikuitwa "Geneva of Afrika" kwa sababu ya mazingira na utalii. Fuatilia hotuba ya Rais Clinton, kama lugha inapanda lakini: Clinton at Burundi peace talks. Ila jombaa unachekesha, sasa uwaondoe Wachagga Mwanza waje Arusha ni kwao? Yaani umekaa kabisa ukawaza huo ujinga wa...
Yeni ya Japan imepoteza mpaka 30% ya thamani yake (ukilinganisha na Dola ya Marekani). Pia angalia JPYTZS, kutoka Tsh. 20 March mpaka Tsh. 15 October. Kwa hiyo, kwa uchumi rahisi tu, pesa ya nchi ikishuka wanunuzi wa nje wanapata bidhaa kwa bei poa. Kwa hiyo wakati mzuri wa kununua magari Japan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.