Wana jamvi habari zenu nimekuwa nikifuatilia nikaona nitoe mtizamo wangu kuhusu huu upepo unaovuma kuhusu Edward lowasa,leo natoa sababu 5 zinazomfanya Lowasa asiwe na sifa za kuwa raisi wa nchi yetu
1.Elimu
ikumbuke kuwa EL ndie aliyesimamia ujenzi wa shule za kata ambao hii leo...
ndugu wan jf,tunahitaji kinyozi mwenye uzoefu na na anayependa kazi barber shop imefunguliwa hapa Moshi,kwa yoyote anayeona ana sifa basi awasiliane nami kupitia no:0768049491 ahsanteni.
Kwa hakika wapenzi wa mabadiliko katika nchi hii napenda kutoa pongezi za dhati kabisa kwa kamati kuu kwa uamuzi huu mgumu walioufanya,najua ccm wataona ni mtaji lakini kwa hakika si mtaji endelevu.
Nilishawahi kusema chadema ni safina ya nuhu kama ilivyokua Mungu alipandisha viumbe...
Ndugu wana jf,
ukombozi hauji kirahisi hasa katika kuwaondoa miungu watu,ni siku ya tatu kamanda kileo anafanya operasheni ya mlango kwa mlango katika kila kitongoji cha Mwanga,hii ni hakuna kulala mpaka kieleweke ,wana mwanga wameitikia wito kuunga mkono harakati na kwa ujumla ni mafanikio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.