Kuna wakati nawaza kwa Nini hawa wabunge was upinzani wasiamue tu kukaa kimya,wachukue posho zao waondoke,wanaumia,wanateseka kwa maslahi ya nani,hao tunaohangaikiwa tupotupo tu Kama vinyago,kwa Nini wasinyamaze tu mpaka hapo akili zitakapo tujia,
Viongozi wetu wanatujua tulivyo ndio maana wanafanya lolote wanalojisikia,Haiingii akilini bunge linawezeje kufanya maamuzi ya kitoto Kama haya.Hiki Ni kiburi kilichopitiliza.
Hatari kubwa inakuja mbele yetu,hivi inawezekana vipi bunge ambalo ndilo linawakilisha wananchi watoe msimamo wa hovyo Kama huu wa kutoshirikiana na CAG?hivi wanadhani udhaifu wao utaisha kwa kufanya hivyo?.Naanza kuamini maneno ya Trump na Putin kutuhusu Waafrica.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.