kama unaweza book hoteli yoyote afu ndani kwenye chumba fanya decoration muandalie vitu unavyopenda and be romantic wanaume huwa tunapenda sana as u know ss wanaume sio materialistic
Kaka umenena kwakweli ni aibu tupu hii nchi sio na uongozi wa CCM maana nasikia hadi viongozi wamerekani ndio wanachagua ni yupi wa kusalimiana na Obama kiukweli tumevuliwa chupi :angry::angry:
Msiwa wajinga jamani timu kama timu ya mpira tumeiona ikicheza ile sio rushwa wala ufisadi so acheni ku-compare Taifa stars na CCM vijana tumewaona wakihangaika sio wakina lowasa wenye account za siri nje ya nchi so achana mambo ya kuponda stars thats football not politics .Angalieni Libya ipo...
Kaka hats Isaac Newton alipata idea akiwa ktk mazingira mazuri ww unaingia kufundisha umekula muhogo na chai ya rangi kuona tena msosi hadi usiku unadhani utafundishaje Mie siongelei mshahara Bali kiujumla maisha ya mwalimu ,polisi yote yamefanywa kuwa used
MZEE MWALI sio kama nipo fustrated ila najaribu kuwambia watanzania kuwa shule za kata tunatoa Elimu Used kwasababu Mshahara ni mdogo yaani kama mchina na simu zake au sio Mzee MWALI ..ndio nchi hii ya kikwete mie naridhika na mshahara wa bure cuz siwezi kusugua chaki kwa mshahara wa kilo 2 na 50
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.