Anayebisha kuwa uchawi hamna namuona bado hajapitia mahangaiko,Dunia hii tunayoishi unajua kwamba kuna watu wana maono ya kuona hadi message unazochart na mtu mwingine,kuna watu wana uwezo wa kuku scan na kujua hadi pesa utayolipwa kesho,Kuna watu wana maono ya kuona kuwa huko unapoenda ni...
Hizi changamoto za kusumbuana na mafundi mnazitaka wenyewe client, Siku hizi kuna makampuni mengi tu class VII wanajenga hadi nyumba za viwili, kaa nao chini mpatane muingie mkataba, mkiendelea kujenga ki local hvo mtapigwa sana na nasema mtaendelea kupigwa tu!
[emoji1][emoji1]Mnato mzee baba, nachojilaumu sikua na zana za wa Congo yani nngechakaza kweli kweli!! Sema nn na jana kaileta imechakazwa, yani kila nikiichakaza nawaza hela zangu alizokula huyu kunguni
[emoji1][emoji1] Ndio mkuu, toka jana nipo naye kaja kulala kabisa, kwa mda huu wacha azile ila asichojua ni kwamba moyoni hayupo kabisa!! Nataka nimpagawishe alafu nimuache kwa maumivu makubwa sana
MREJESHO
[emoji1][emoji1] Deal done, huyu binti nmemla Jana,
Kilichotokea ni kuwa toka mwanzoni mwa mwaka huu baada ya kufuma text ikabidi nmpotezee tu, basi mwezi wa tano ule akawa ananitext mm najibu short tu, akakata tamaa, akawa tena anakaa ananitext mara ananzingua nimtumie hela namjibu...
[emoji28]kuna client anakuambia yani mm nimpe hela,mtu anayekuja kunyoosha kidole tu hapana!Watanzania wengi hawaamini katika utaalamu wao wanataka mtu uchafuke au ubebe tofali ukiwa site ndo akupe hela
Mkuu yule demu cheupe,kama watu wanavyohonga siku hz mm nlikua nahonga elimu yani nlikua namhonga elimu mpaka basi,mana ndo ktu pekee nlichokua naweza kumhonga[emoji4], imagine alipiga Division one olevo na akawa wa kwanza kwa mabinti!nazani shida yangu ilikua moja tu nilikua rough...
Okay kwanza nianze Primary 1999-2005 nilikua napendwa na mdada mmoja wa kuitwa Lucy,na mm pia nlikua nampenda ila sijui ilikua inakuaje nikimuambia nampenda yeye anakataa,ikafka mda yeye akaanza kunambia ananipenda na mm nakataa,
Kufika la Saba mwanzoni akatokea crush mwingine alikua dada wa...
[emoji28][emoji28]demu anakula kitimoto imagine kuna siku alikua kilo moja na ugali peke ake kesho akataka tena nkaona hapa nadate na Fisi sio bure!ila demu sio huyo mkuu!
Mbona kawaida sana!nilihonga miezi sita na simu nikamnunulia ila hata kiss sikuambulia!kila ukimgusia maswala ya papuchi ananuna anasema nina haraka sana!ilikua kila siku lazima nmnunulie kitimoto,kila wiki kusuka!hapo bado kumtoa out kila weekend na hata kiss sikupata[emoji28][emoji28],
Siku...
Natafuta civil technicians wawili fresh from school who are very time keeping ambao wamemaliza DIT, Mbeya na kwingineko kwa ajili ya kuwapa mafunzo ya site supervision then later on, l will employ them katika kampuni ya SONGOJO LIMITED (Building class 5 and Civil work class 6).
Kampuni ni changa...
Boss!kwanza naomba nielezeee kidogo hyo harufu ni nini!
Harufu unayoisikia wew ni hydrogen sulphide,ambayo inatokana baada ya bacteria kuvunja kinyesi bila kuwa na oxygen(kitaalamu inaitwa anaerobic respiration) bacteria hawa ili wavunje kinyesi huwa wanahitaji supply ya oxygen na chanzo cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.