Hahaaa wanajisumbua bure tu, ila kwa hali ya tathmini ya haraka haraka upinzani uliopo unamtandao dhaifu vijijini bado hauja jidhatiti mbele ya CCM , nidhahiri yeyote atakaye pitishwa na CCM atashinda, ila kwa vile mafisi ni wengi, CCM haitafanya kosa kuwaletea mgombea kioja, fanyeni kusubiri...
Pole sana hii topic niliwahi kuijibu kwa urefu isearch thread yake bado ipo, inawezekana una UTI lakini specifically una Urethritis, kuugua kwa pipe ya kupitisha mkojo, sijui una umri gani kwa hizo dalili inawezekana pia una benign prostitic hypertrophy (BPH)/ prostitis ni uvimbe kwenye tunda...
Wachangiaji,
Nawashukuru kwa mchango wenu, ni kweli kuna vyuo vingi vina ruhusu mwenye ADV DIPLOMA kusoma Master Degree, lakini kuna vyuo hawaruhusu vile vile kama vyuo vya Medicine IMTU, Muhimbili nk, Mfano holder wa Advance Diploma ya Clinical medicine (AMO) haruhusiwi kabisa kusomea master...
Salam,
Ndugu Fungas kwa wanawake ni tatizo ambalo husababishwa na mambo mbali mbali kama unadhifu , uambukizo, madhara sehemu nyengine ya mwili, mfano sukari...nk sasa wewe sijui ni sabau gani ulipata fungus, hata hivyo si rahisi kusema kama kuna tatizo ama hapana kwa sababu maradhi yeyote...
Inawezekana unasumbuliwa na ugojwa wa peripheral neuritis ambao unatokana na upungufu wa Vitamin fulani fulani hasa kwenye kundi la vitamin Bs, dawa za Neurobion, neurorubin zinasaidia kuondoa tatizo hilo.
NB: Sababu zipo nyingi lakini, Ulevi, kazi nzito za kutumia mikono kubeba mizigo...
Salam, hilo suali ni tata kidogo ila ntajaribi kulijibu kwa uzoefu, maana sijui hiyo sindano ya chanjo alichomwa wapi, kwa mana chanjo kuna za matone Mdomoni, na zilobaki mara nyingi ni mkononi au pajani, hivyo kuathirika mguu moja kwa moja hadi kusababisha ulemavu si rahisi.
Lakini kama...
@ Wapiga debe
LOL ni upuuzi mtupu, chuki, ubinafsi, Utanganyika/Uzanzibari na mbaguano kwa WaTZ wenyewe kwa wenyewe kwa kasumba ya Maslahi ya Waroho wenye Uchu wachake halafu sisi tunakaa hapa kushabikia na kuwahalalishia kuendelea kupeta, kwa mambo tusioyajua mwanzo wala yanapoendea, eti...
​Salam , naomba nikujibu suala lako kama ifuatavyo hapo chini
MNYOO:
Kuna minyoo ya aina nyingi , lakini inayosababisha safura kwa binaadam ni aina mbili, ambao wanaitwa Hook worms,
kitaalamu 1. Necator americanus na 2 . Ancylostoma duodenale wameitwa hook worm kwani wanandoana...
Ndugu wana Jukwaa naomba munieleweshe nimekuwa nikiulizwa suala hili mara kwa mara ila huwa linasumbua kutoa jawabu muwafaka itokeapo kuombwa kutoa ushauri.
1.Ni nini tafauti ya Bachelor Degree na Advance Diploma?
2. Kuna uhusiano au ulingano gani wa hadhi kielimu (Equivalency), ukichukulia...
Historia,.... ni nzuri !!
Naiogopa kwa mana ina tabia ya kujirudia rudia
Mkuu, ni nini maana ya "Amri halali" hasa inapofikia suala la kutoa uhai wa mtu??
Salam wakuu,
Mimi naona sasa tunatoka nje ya mada na tunaonesha kuelekea kwenye ushabiki ulio dhahiri au chuki binafsi, hii siyo sifa ya Jamvi hili, nahisi kuna watu wanafanya makusudi kuutia dosari ukumbi huu, kama ni watu wenye busara nahisi tungeegemea zaidi kuichambua hoja ya mtoa mada na...
Mmhh hapa mtihani, mimi nakumbuka kuna ndizi zina mbegu, na nimewahi kusoma kwamba unaweza kupanda mgomba kwa mbegu za mgomba ambazo zimo ndani ya ndizi, hivyo ni kusema Si Sahihi, kwamba mgomba lazima upande shina.
Naomba fungua kiambatanishi hichi kina maelezo na picha, kusibitisha maelezo...
Inaonekana Bro unahofu, kwa vile umekwena HOSPITALI VIPIMO SAFI na KWa mujibu wa maelezo yako, ukitilia maanani na mda wa tatizona na dalili unazotoa, nahisi hamna tatizo.
labda nkwambie kawaida mkojo ni manjano hata uliwa huumwi na siku za joto huzidi na huuma kidogo kwa mana unakuwa...
Asante, Mim binafsi nahisi labda kwanza niongezee Unguja mjini, mana akisema Mdonge au mkojani au Mmakunduchi utaondokea patupu.
Sababu
!. Kiunguja lugha yake haina lafdhi (TONE) iko mshazari (Straight) mfano haina ma re re re au le lele au kuimba kama watanga
2.Kuinguja kimechanganya maneno...
Kustaafu= ni kuacha kazi kwa mujibu wa sheria, ama baada ya mkataba wako kwisha au kwa kuomba kutokana na sababu mbali mbali kama za kiafya etc na unapata haki zako. yani huna kazi tena labda kwa mkataba mwengine.
Kujiuzulu= ni kuacha(Dhamana) kwa hiari yako binafs, lakini mara nyingi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.