line ya voda ikiwa 32,000/= unapata na manual bonge la kitabu kwny pack ukasome namna ya kutumia line BUZZ(sasa Tigo) line 22,500 iko ndANI YA kasha la cd na kakitabu flani kadogo manual ya jinsi ya kutumia line bila kusahau wazee wa tritel walioibuka na mabei yao makubwaaa vilaza sana watu hadi...
ni
wanafanana sana na kienyeji ila wao ni high breed wanakuwa na maumbile makubwa na hawana rangi za tofauti sana wekundu flani hivi mix na white na black siyo rangi ya kanga
4. Mara wakauawa wanajeshi wetu wa kikosi cha kulinda amani nchi DR Congo mwezi December 2017. Rais wetu na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama hakuonekana Uwanja wa Taifa kwenye mazishi ya wanajeshi wetu. Aliyekwenda kwa niaba ya Serikali ni Waziri Mkuu Majaliwa.
Wewe jamaa ni...
Sitaki kuingia deep sana kwenye swala hili sababu timu kama arsenal na chelsea hazipo kwenye mashindano ya UEFA lakini pia barabara kuu ya songea masasi ambayo ni kivutio cha maji inapaswa kujengewa uzio na maeneo yote ya mabondeni na kwenye misitumikubwa swala la kuku na tairi za gutatuwaachie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.