ram thanks but kule nimeipata but nakuwa kama sina imani nayo so natafuta mtu alienunua currently ili niwezeb kulinganisha mana wanadai wamebadilishabaccount miaka mitatu iliyopita
jamani samahani naomba msaada kwa mtu alieagiza gari real motors japani hivi karibuni naomna kupata msaada wa swift code na account zao mana inaonekana wamebadili bank account sasa naogopakuibiwa
Hivi jamani inakuwaje baadhi ya ajira serikalini zinakuwa na mlolongo mrefu sana mpaka watu kuanza kazi, maana kuitwa kwenye interview nia zaidi ya miezi sita tangu nafasi zinapotangazwa,sasa kuitwa kazini itakuwaje....mfano mzuri ni hawa jamaa wa secretariet ya ajira na tangazo la kiswahili au...
acha kudanganya watu ulipost wapi watu kila kunapokucha wanakuwepo kucheck update we unasema ulipost...inamaana watu wote hao hawana macho! kafanye interview sasa
achana na hiyo biashara kabisa itakula kwako maana faida yake ni ya muda mrefu sana na inakuwa ndogo sana labda uweke mamilioni ya pesa. na kuna uwezekano wa kupoteza kabisa npesa yako mana mie nilishanunua kuna kampuni fulani posta ila baada ya lile kampuni kushindwa nkendelea jamaa walishindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.