Nashauri aliyeanzisha angejaribu kuanza na historia ya CRDB ilipotoka hadi sasa. Baadaye aelezeee hayo yake ambayo naona ni changamoto kwa wasaidizi wa CEO kwani sio yeye peke yake anafanya hivyo. Mnyonge mnyongeni haki yake Mpeni.
Kuichagua ccm utakuwa zezeta, mtumwa wa mawazo, mtanzania amka, miaka 54 leo hii hakuna maji safi na salama mijini!! je vijijini utasemaje? Wake zetu,Mama zetu, dada zetu, watoto wetu wanalazwa chini wakati wanatuzalia viongozi wa Taifa la kesho. Mabadiliko muhimu
Ameulizwa kurudisha kadi, leo anasema hata ya ccm amelipia na hajawahi kufanyakazi ya ccm!! Mbona kabla ya hili seke seke hajawahi sema hilo!! Wivu wa kike.
Waelimishe, kushuka kwa bei inawezekana maana kuna kodi nyingi sana kwa mwananchi. Agencies kama Sumatra, Ewura tunazilipia kwa kukatwa kodi kwenye mafuta. Vigogo wachache ndiyo waagizaji wa mafuta kwa jumla, wakati Tipper na TPDC wakiachwa wanafanya siasa tu. Inawezekana bei ya mafuta ikashuka...
Chonde chonde nec, tumieni busara na ubinadamu. Angalieni wananchi walivyochoka na chama kilicopo madarakani. Hizo sheria zote hawaelewi, wanasubiri tu agizo. Umimilivu ukikosekana, hata nyie hapo Posta mtakosa pa kukaa. Mungu ibariki Tanzania na tupe umumilivu utoepushe na kikombe hiki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.