Mkuu Mshana Jr.nina shauri michango ukusanye wewe kwa kila mmoja wetu atakae guswa kumsaidia Mwenzetu na mkeka uweke hadharani kama tunavyo fanya kwenye magroup mengine,nawasilisha
Hili nami limenishangaza sana what selfishness!walimu,polisi,wanajeshi na watumishi wote wanateseka inapokuja kwenye stahiki zao halali kabisa za kustaafu!daaah pole pole jamani,huko mbeleni wanaweza kuja kutunga sheria za kuwalipa watoto na wajukuu wao viinua mgogo
Mkuu nilichojifunza na kukiona SHIA wanaamini wao ndio Waislamu wanaofuata maandiko kwenye Quran na mafundisho kwenye hadithi za MTUME MOHAMED SAW kuliko wengine hapo ndio shida ilipo
Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
Huyo ndio YESU KRISTO ninaemuamini matendo yake ni makuu sana alikuwa nawewe kukutoa kwenye umauti na hakukuchoka kwenye majaribu uliyo mpitisha bado aliendelea kutenda nawe umeshuhudia live shukran kubwa sana kwake kutoka kwako ni kumpokea awe ndani yako na kwa hakika utapokea vingi zaidi hadi...
Ilikuwa inaitwa BURGER HUT,Owner alikuwa anaitwa Jalal jamaa wa Kibohora ambae pia alikuwa ana own Rendezvou Restaurant na Kongwa Beef Butcher samora Avenue,jamaa alifariki zaidi ya miaka 30 iliyopita
Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
Ama kwa hakika kabisa wema hauozi, unapopanda mbegu ya wema itazaa kuanzia kizazi chako cha sasa mpaka kizazi chako cha nne, MUNGU WETU AENDELEE KUKUBARIKI.
Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
Kiwanda kipo pale hata kabla ya Uhuru wananchi ndio walioenda kuvamia ardhi ya wazo cement na hati za maeneo yote yanayo zunguka kwahiyo wananchi ndio wanaopaswa kuhama
Hii lawama ya Nursing fraternity ni uonevu,Nesi na hata Daktari hawana uwezo wa moja kwa moja kugundua saratani ila wanaweza kuhisia tu,shida kubwa ni diagnosis equipment ambazo nafikiri kwa TZ zipo Ocean Road Hospital tu
Jamani mbona ni rahisi tu divorce ya Reginald na Mercy ilikuwa ni talaka ya mume na mkewe haina uhusiano wowote kisheria na watoto wao,sio kwamba ukitalikiana na mkeo mali mtakazo gawana pia zinahusika na watoto,talaka ilikuwa ya watu wawili tu mume na mke na sivinginevyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.