Nimemkumbuka sana wanajamvi Mh Kihiyo aliyekimbia ubunge Temeke kwa kuulizwa mwalimu wake wa darasa...Mwenye mawasiliano naye atujuze yuko wap Mheshimiwa??
Mr Robati za Toronto -Ontario ndugu yangu naona huyu mtoto wa Baba wa Taifa anafurahia ufisadi wa mapenzi kwa kutaja vifungu vya Bible hakika atalaniwa
Wewe kila mtu unamlaumu tu sasa nimekuja uniambie lini nimekushobokea wewe maana jana ulitamba sana hapa kunichafua...Haya tuendeleze mjadala na umbeya wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.