Siku hizi JJ Mnyika ana wasaidizi wengi mpaka akina Nape, mtu ambaye anatoa kauli kwa kutumia tumbo na sio fikra na hoja za msingi. Aje atuambie ni ibara gani imekiukwa na ni viongozi wangapi na akina nani wametoka mfukoni kwa Mwenyekiti
Naomba huyo mropokaji wa Magamba arejee yafuatayo; Katiba ya Chadema toleo la mwaka 2006, Kanuni za Uendeshaji Kazi za Chama, Miongozo kutoka ofisi ya Katibu Mkuu kwa mujibu wa Kanuni. Mamlaka ya Baraza Kuu ya kutunga Kanuni na Miongozo mbalimbali (ukiwemo mpango wa Kanda) na utaratibu wa...
R.I.P Dr, by then kulikua na mjadala mzito kuhusu NSSF kufili mali za THI nadhani modes fanyeni mpango mrudishe zite hot disc maana hata mm nilikua junior sana humu jukwaani na nilikua napewa mafunzo kweli ya namna ya kushiriki mijadala sio leo mtu anajiunga jana na kuanza kupomorosha matusi...
Kamanda Msigwa kawasilisha hoja binafsi kuhusu huu uhuni, lets wait n see labda serikali ya magamba watastuka. Lakini naona kama wanaandaa fedha haramu za uchaguzi mkuu ujao
Hii kali ya kufunga mwaka, mbona hakutoa kauli yyte juu ya kifo cha mwangosi? Mbona anapishana na taarifa ya uchnguzi ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora ambayo ni taassi ya serikali? Hana ishu
Madai yote ni uongo, hakuna ukweli kabisa. Mambo mengine huwa ni upuuzi mtupu, hata kama ni tuhuma au mapungufu ya kiongozi yeyote ni lazima uandike facts na sio uongo kama huu. All these ar irrelevant
Pakua hansard usome wapi walizitoa hoja zao,ya Jaffo alianza Mnyika na ya Januar aliiba kwenye hotuba ya Upinzani ya mwaka wa fedha 2011/2012 kuhusu kuanzisha Real Estate Regualtory Authority ili kuwapunguzia adha wapangaji wa nyumba mijini.
Nilikuchek jana usiku tbc, naona kama vile ulikuwa handasi kaka maana kama ilikuwa unakula gomba vile?? ni macho yangu tu kama nilikosea chukulia poa, ila ccm kutawala miaka 50 mingine ni propaganda kama zile za mwaka 2010 kuwa CDM ni chama cha msimu lakini sasa kinawagwaya hawa jamaa mbaya...
tunataka hoja binafsi ya mnyika ijadiliwe ili haya yote yawe wazi kwa sababu inaonekana wabunge ni wapiga kelele tu wakati kwa upande wa serikali ndiyo wanaonekana wazembe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.