Tunahitaji chama cha kutuletea mfumo bora,tukiwa na mfumo bora mambo yote yatakaa sawa hata wananchi watakuwa na maisha bora,lakini kama mfumo utaendelea kuwa huu uliokuwepo basi nchi tutaendelea kuwa wapumbavu,
Chuo kinatoa elimu nzuri ila yeye ni ujinga wake wa kutaka SIFA KWA MWENYEKITI WAKE AMBAYE ALMSIFIA KUWA ANAPAMBANA NA CHADEMA UJINGA WAKE TU SIYO CHUO
wewe mbona husemi maovu yako na uzinzi wako sema china ulienda kujifunza nini siyo unasema tunakujua ulienda kufanya na mafunzo yako ulifanza arusha kwenye mkutano wa chadema na kama hayo mabomu unayo mengi sasa hivi hautaweza kuyatumia nenda kaue wanyiramba wenzako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.