Search results

  1. princebujonde

    Uchaguzi 2020 Siku hazigandi, mwaka 2020 aliotangaza Rais Magufuli kuwa ndiyo mwaka wa kufanya mikutano ya kisiasa, kwa vyama vya upinzani, ndio huo ushafika

    Mkuu, kwanza nikupongeze jinsi ulivyoleta hoja yako hapa jamvini. Pili niseme kwa kifupi tuu kwamba the Coercive force yaani nguvu ya dola haijawahi kamwe kunyamazisha the Mass with public opinion on hand!! Yaani nguvu ya umma yenye ajenda ya taifa. 2020 ni mwaka wa vyama vya siasa kujitathimini...
  2. princebujonde

    Huu Ndio Uzalendo Huu...!.

    Wajibu ni kuwajibika!! Jiwe akiwajibika ametimiza wajibu
  3. princebujonde

    Mheshimiwa Rais, ikikupendeza uwashauri vijana waachane na madesa, wasome vitabu!

    Mkuu kutokana na uzoefu wangu nitakudokeza kama ifuatavyo kwa kifupi tuu; 1. Utashi wa kusoma unaanza pale mtoto anapojifunza kusoma na kuendelea katika maisha yake yote( tunaiita hii literal development of a child) 2. Utashi wa mtoto husika husukuma kupenda kusoma vitabu kutokana na mazoea...
  4. princebujonde

    UDSM: Rais Magufuli kuzindua Maktaba ya kisasa,kuzungumza na Taifa

    Ni maktaba bora kabsaaa na hii ikitumiwa vizuri italeta upanuzi fikra kwa wengi. Tatizo moja kubwa wasomi wa siku hizi na matumizi ya maktaba bado changamoto kubwa!! Wasomi wanàtegemea saaana kuteleza kwenye ganda la ndizi la tovuti tafutizi kama google na kusaka vi PDF Files wakati maarifa...
  5. princebujonde

    2001 Dudubaya(Konki) na Mr Nice walipopigana kumgombea Barbou

    Huyu jamaa ana gorofa kubwa 2 pale Kihonda hivi sasa ñi hostel za SUA sasa sijui kataifishiwa au laaa !! Maan hz Si Hasa hizi hatarii
  6. princebujonde

    Tumezoea kuona picha ya siku lakini hii ni picha saa ya nguvu

    Awafu mwenye nguvu...kwa wale tuliosoma zamani
  7. princebujonde

    Karibuni kwa maswali yote ya kiafya

    Umri miaka 34, tatizo: kutetemeka viungo, historia; alishawahi kutumia pombe hapo nyuma akaacha!! Nini matibabu yake mkuu!!
  8. princebujonde

    Ipeni neno moja hiyo picha ya leo asubuhi

    Duuu! Kweli asiye na mwana aeleke jiwe! Imenipa kuwaza tofauti saàana kuhusu faraja na matarajio!!!
  9. princebujonde

    Ili kutopotezwa na Upepo wa Magufuli: Wahadhiri UDSM waasa Upinzani kubadili Siasa zao za kuisuta Serikali na kushirikiana nayo kama Upinzani wa China

    Zamani za kina Plato na Socrates walijitokeza kundi walioitwa "Sophists" hawa walikuja kuipindua kabisa misingi ya falsafa kwa lengo la kujipatia fedha! Walirahisisha mambo wakapindua kauli na kuvuta wengi kwa maneno matamu ili kujipatia fedha na umaarufu!! Sasa zama zetu pia wameibuka wapiga...
  10. princebujonde

    Kwa hii mitindo ya uvaaji, yajayo yanasikitisha.....

    Daaah kuna haja ya kurudisha somo la utamaduni kwa vijana wa dot.com
  11. princebujonde

    Russia says biggest war games since Cold War are justified

    Kwa wanaokumbuka ubabe wa NATO enzi za Chechnia-Yugoslavia na propaganda zake za kudhoofisha Russia influence ndani ya Balkan States hii itakua War game retaliation ya pekee kwa Urusi kutuma messeji kwa NATO Kwamba wanarudi kivingine.
  12. princebujonde

    Ukweli kuhusu Mradi wa NSSF wa Dege Beach Kigamboni

    Mtoa post katoa yake ya moyoni ila tatizo moja nililo ona kwake ni kwamba amekua so obssesed na kutetea management iliyopigwa chini na kawa mvivu kutaka jua nini new management inaona kinafaa kwa sasa katika mradi. Hzo terminologies za potential value,market value na equit holdings CAG anazijua...
  13. princebujonde

    TED-global talk na fursa kwa Tanzania

    Jijini Arusha Tanzania imepata fursa ya kuwa mwenyeji wa Jukwaa huru la ubunifu, sayansi na elimu teknolojia maarufu kama TEd- Global talk. Kwa kuliona hili nikafanya udadisi kidogo kujua sehemu nyingine hasa nchi za Asia na Amerika walilitumiaje jukwaa hli la Ted katika kukuza fikra za...
  14. princebujonde

    Unapopigiwa simu kua unahitajika kwa MKEMIA

    Kizazi cha hofu hiki aiseee
  15. princebujonde

    Hatimaye Erick Shigongo Atajiunga na chuo mwaka huu

    Elimu haina mwisho utashi wa kujiendeleza ili kupata maarifa zaidi ni hitaji la muhimu kwa ustawi binafsi wa mtu. na ikumbukwe lipo kinafsi zaidi na hujengwa na msukumo wa mtu husika kufuta ujinga. Sioni sababu ya kumshupalia Shigongo bali ni vema kumpongeza kwa kupambana na hali yake! Elimu...
  16. princebujonde

    Njoo Tuambiane Kijiji Chetu Tulichotoka

    kijiji cha bujonde
  17. princebujonde

    Unawezaje ku-deal na mtu wa karibu yako asiyependa maendeleo yako

    Nguvu ya nasfi huja na viashilia aina mbili. Moja viashilia chanya na mbili viashilia hasi. kuiujumla viashilia chanya hubeba kusudi la uumbaji wako na malengo yako kijumla katika maisha. Je kwa nini upo duniani ili ufanye nini na kwa faida ya nani? ukiweza kuyajibu hayo mtu yeyote hawezi...
  18. princebujonde

    Tundu Lissu: Afande Sirro na Kipilimba, Vijana wa Toyota Premio namba T460CQV Mliowatuma kunifuatilia nimewakaba

    Publicity attention ya Lissu ina mbwembwe! ilitosha tuu kuwakumbusha watu wa usalama kutomfata fata na si kuzumgumza hivo! relevant issue must not be submerged by irrelevant issue. Ishu ya deni la ndege ya bombedier ni relevant hayo mengine so irrelevant.
  19. princebujonde

    Wanawake wenye waume walevi njooni hapa tufutane machozi

    Tatizo la ulevi lina hatua tatu: Moja ni kutokana na hali ya mtu kutoka tarajio fulani hadi kutokua na tarajio. ( huyu rahisi kusaidika):Mbili inatokana na tabia na ile self esteem ya mtu katika pombe, yani pombe kwanza mengine badae(addiction) hyu kumsaidia hadi upenye kwenye tiba ya saikolojia...
  20. princebujonde

    Kula damu ya wanyama kuna madhara?

    Nionavyo mimi damu inabeba vinasaba hai na seli za mnyama husika endapo seli zitakua na maambukizi ya bakteria au virusi ni rahisi kumpata binadam..rejea chanzo cha Ebola hata Hiv .Pia machapisho ya kitabibu ya kale yanaonesha jinsi mwanadam alivofanikiwa katika kutatua changamoto za maambukizi...
Back
Top Bottom