xafi maana hawezi ingia jeshin mpaka apitie jkt,kwani siku hizi mfumo wa kuajiri umebadilika jwtz wanaajiri vijana kutoka jkt tu labda uwe professional.
Hii ni ajabu kweli kweli kwa nchi inayotafuta wataalamu katika kada mbalimbali!!hebu angalia maajabu ya badhi ya wizara zetu hapa nchini,zinatangaza nafasi za kujiunga na masomo katika madaraja tofautitofauti lakini wanaweka vikwazo na huku wakijua vijana wengi wanazihitaji nafasi hizo kwa muda...
Mwache atengue na mtazamo hasi aliokuwa nao,ni ajabu xana kutenda kosa na kuzidi kulijadili kosa!kwanini asijadili ni namna gani atalitatua hili tatizo,mawaziri na viongozi wa secta zote nchini kwa kushirikiana na wadau wa elimu jaribun kumshauri huyo raisi.
Jamii forums bado mpo correct!kwani ukweli ndio huo tu,leo hii watoto wa sec.schools haswa wale wa gvt's schools wanaongoza kufanya madudu kama hayo na hii ni wazi kabisa kuwa wako huru.ukweli ni kwamba kwa sasa private schools ndizo shule zenye nidhamu ambayo huwasaidia katika structural...
Hii ni kweli na ilitoke juma lililopita maeneo ya Dsm.marafiki wawili walioshibana,kujaliana na kuishi kama ndugu walipo kosana kisa huyu bint!mmoja kati yao alikuwa na mpenzi lakini hakupenda kumtambulisha rafiki yake,hawa jamaa walikuwa wakiishi umbali kadhaa,hivyo huwa wanatembeleana.sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.