mimi ni mwanamke ninafanya kazi na simtegemei mwanaume.sasa niwaulize wakina baba hapo mme wangu labda kafukuzwa kazi na mimi ninafanya nani atamuangalia si ni mimi?yeye si atakuwa nyumbani itabidi afanye kazi za nyumbani na kuangalia watoto mpaka atakapopata kazi tukishirikiana pamoja.
mimi kwa upande wangu naamini kwamba kama mwanaume wangu anataka nje na hana mapenzi kwangu mimi nakuruhusu uende na nitamuomba asirudi na wala sita gombana na yeye.sababu magonjwa mengi.mimi nisingependa nimpe partner wangu gonjwa lolote na yeye afanye hivyo hivyo.kuna wanawake wengine...
MCHONGOMA hayo ni maneno umetoa.shukuru ulichonacho na kama jamani kuna matatizo ndani ya ndoa watu tuongee na partners wetu na kufindishana tunapendelea nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.