Haya jamani mpo?? Sasa ni hivi Bashite hajabadilika hata kidogo.
Kumbukeni mwaka jana kulikuwa na story kubwa ya Bashite kung’ang’ania nyumba aliyompora GSM kipindi cha Magu? Kama mnakumbuka hata majuzi tu Bashite aliongea kuwa na yeye kadhulumiwa nyumba, alikuwa anamuongelea yüke GSM wa Yanga...
6)Rais Samia alikuwa kwenye Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa AU na Rais Mstaafu JK alikuwa kwenye mikutano yake miwili.
a)Wa kwanza ni High Level Panel on Water Investments in Africa and Ambassadors Side Event. Mstaafu JK ni Alternate Co-Chair wa hiyo High Level Panel ambayo Co-Chairs...
JK ni International figure, ana heshimika kimataifa, tumwache aendelee na majukumu yake ya kimataifa yanagharamiwa na wahusika wanaomwalika.
Nimefuatilia mitandao ya kijamii kuna baadhi ya watu wanajaribu kupotosha kuhusu safari za Rais Mstaafu Jakaya Kikwete.
Nawakumbusha kuwa nchi yetu ina...
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera anatakiwa awe Mkoani kwake Mbeya. Lakini yeye miezi kadhaa yupo Mkoa wa Jirani huko Ruvuma akifanya mikakati ya Ubunge wa 2025
Hata wananchi walishamsahau wala hawajui kiongozi wao nani.
Sasa leo kajitokeza Mkuu wa Mkoa feki wa Mbeya na kuanza kusikikikiza...
Kuna mambo mengi yanakwama hapa Mbeya. Wananchi bado wanalalamika na Gharama za Maisha, Sukari haishikiki.
Mtu ambaye angesaidiana na Wakuu wa Wilaya kusimamia haya ni Mkuu wa Mkoa. Ajajbu mkuu wa Mkoa anamaliza hata Wiki mbili yupo Songea na Namtumbo kufanya Ushawishi wa Ubunge ili agombee...
Kila mtu afanye yake. Mkuu wa Mkoa ahangaike na mkoa wake. Nshawasoma Chawa wa Homera, wapo kazini kujibu mashambulizi, kweli unaukimbizia Ubunge!!
Tamaa ya nini Homera, hutosheki?
HARAKATI CHAFU ZA RC WA MBEYA JUMA HOMERA KTK JIMBO LA NAMTUMBO ZINAHARIBU KAZI NZURI INAYO FANYWA NA RAIS SAMIA KTK UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM.
Hivi sasa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera hakai kituo chake cha kazi Mbeya badala yake yupo kila mwezi anakwenda Ruvuma kufanya kampeni za Ubunge...
Msimuonee Vicky Kamata tafuteni taarifa sahihi kisha mseme.
Mimi nimefuatilia kwa kina na nimepata stori kubwa kutoka kwa ndugu wa karibu wa Likwelile. Ameongea kwa uchungu sana juu ya watoto wa marehemu wanavyozidi kumuaibisha ndugu yao kwa tamaa ya mali za Vicky.
Shemeji yetu tunamjua na...
KUNA vita ya manyani inayopiganwa sasa hapa nchini. Ni vita ya nyani kuchekana maumbile yao ya nyuma. Maumbile ya nyani hayatofautiani lakini hakuna nyani anayeweza kuona sehemu zake za nyuma isipokuwa za mwenzake. Nyani haoni kundule.
Siku zote vita siyo kitu kizuri na hasa inapopiganwa na...
Afisa Mkuu wa Kampuni ya Tigo Kitengo cha TIGOPESA Angelica Pesha (wapilikulia), akishikana mikono na Meneja wa kampuni ya Uber ukanda wa afrika mashariki Imran Mnji wakati wa hafla ya kutangaza ubia wakufanya kazi pamoja kwa muda wa mwaka mmoja wa kampeni ya kutoa zawadi kwa madereva na...
By our Reporter,
The proposed takeover of majority shares of Tanga Cement by Twiga Cement will not create a cement behemoth that will monopolise the domestic market beyond the allowed threshold for fair competition as set about by regulations, analysis of production data of cement in Tanzania...
The saga of the sale of 68.33 percent of Tanga Cement PLC shares to Scancem International Da has continued to raise various arguments for some development stakeholders and others to the point of appealing to the High Court of Tanzania for fair competition.
The discussions have continued to...
Mradi wa Uvinza–Malagarasi (Kilometa 51) ambao gharama zake ni Tsh. Bilioni 62.7, ni sehemu ya barabara kutoka Kigoma, Uvinza, Malagarasi na Tabora ambapo kwa jumla urefu wake ni Kilometa 214.
Akizungumzia mradi huo, Mhandisi Ngoko Mirumbe ambaye ni Kaimu Meneja wa TANROADS Kigoma amesema...
Ujenzi wa barabara ya Tabora Kigoma njia ya Urambo, Kaliua, Chagu hadi Kazilambwa, yenye urefu wa Kilometa 36 umegawanyika katika sehemu mbili, kuna upande wa Kigoma ambapo kuna urefu wa Kilometa 10 na Tabora ambapo kuna Kilometa 26.
Mhandisi Ngoko Mirumbe ambaye ni Kaimu Meneja wa TANROADS...
Mwandishi Wetu
RAIS Samia Suluhu Hassan amemwagiwa sifa na wananchi na viongozi mbalimbali ndani na nje ya nchi kwa kuchukua hatua za haraka na madhubuti kushughulikia uzembe na ubadhirifu wa pesa za umma uliobainishwa kwenye ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)...
Ripoti mpya ya CAG iliyotolewa Aprili 6, 2023, yasema Serikali ya Awamu ya 5 ilivunja sheria ya nchi kwenye utoaji wa kandarasi ya reli
Ilikubali masharti mabovu ya Benki ya StanChart kuwapa kandarasi Waturuki kwa gharama ya juu bila tenda ya wazi ya ushindani
=========
Na Waandishi Wetu...
Anaandika Malisa GJ
Sabaya amekiri makosa yote yaliyokua yanamkabili. Uhujumu uchumi ameomba "plea bargaining" na ametakiwa kulipa faini ya milioni 5. Yani fedha zote alizodhulumu kwa wafanyabiashara, watu binafsi na taasisi, faini yake ni milioni 5 tu. Makosa mengine Mahakama imempata na hatia...
MJADALA wa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) unaoendelea baada ya kuwasilishwa kwake bungeni Dodoma wiki hii, umeacha nje jambo moja – nafasi na umuhimu wa Rais Samia Suluhu Hassan kwenye jambo hilo.
Ni rahisi kuelewa kwa nini macho na masikio ya wengi yataelekezwa...
Deiwaka World chini ya Joseph Mbilinyi “SUGU” kwa kushirikiana na Alliance Francaise (Kituo cha Utamaduni cha Ufaransa), imeandaa “Bongo Flava Honors” Concerts ambalo ni Jukwaa mahsusi kwa Wakongwe wa Bongo Flava.
Concerts hizi zitafanyika Alliance Francaise, Upanga, Dar Es Salaam.
Kila mwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.