Ushauri wangu kwa CHADEMA Wana mambo mengi ya kufanya kwa taifa ni bora wakomae na hizo na kuachana na ngonjera zao za kila siku wabunge 19. Kwa kifupi zinaboa
Hawa ni wazazi ambao hata kuwapelekea watoto chakula shuleni hilikuwa ni shida sasa anafikiri na A level ni hivyo hivyo. Badilika mzazi timiza mahitaji yote uliyoambiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.