Watu wanaagizaje magari kwenye picha used? Yaani niliachaga huo ujinga gari zipo nyingi sana showroom naenda na begi langu nakagua gari bila fundi nanunua
Yaani hapo meza kuu wamekaa serikali na chama tu wasanii wenyewe wako kajamba nani uko nyuma. Meza kuu yuko Majaliwa, mwakyembe, Ndugai, katibu mkuu wa ccm.
Nimekaa hapa TBC1 naona ujio wa waziri mkuu na wasanii wa Tanzania na kuna salamu za CCM sioni dalili ya wapinzani. Ndio tuseme hili tamasha ni la kimkakati wa chama kuelekea uchaguzi?
Pilika za uchumi ndo zinachangia mtu kwenda kasi au slow. Hata wewe mwenyewe ukiwa kariakoo kama dili zako zimebuma utarudi ukiwa mpole sana huna haraka na mwazo chungu mzima. Ila sasa ikitokea dili zako zimelipa na unatakiwa urepoti maeneo mawili matatu tofauti mjini utaona kama mda hautoshi...
Huku joto ukikimbia ni utatoka majasho kwaiyo inabidi utulize spidi ili usilowe jasho. Ulaya baridi kwaiyo inabidi ukimbie kimbie ili kupasha joto misuli vinginevyo ukisimama mda mrefu sehemu moja utajikuta umeshaganda kama barafu.
Hakuna mashine inayotumika sasa yenye mionzi ya ki atomic ni kinyume na sheria za atomic kumpiga x-ray binadamu mwili mzima airport. Kama hujasafiri kaa kimya.
Mizigo utapigwa x-ray ila siyo binadamu. Na hakuna mashine yoyote airport ya kujua kama umebeba unga tumboni jua ivyo dogo.
YEHODAYA, Jiulize hao kina Millard ayo wanalipwa kwa njia gani huko youtube, na uliza jamiiforums wanalipwa kwa njia gani kupitia adsense, usiache kutumia fursa ulizonazo kwa kusubiria majibu ya jumla ya serikali wakati wenzio wapo hapa na wanapata malipo unayozani hayawezekani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.