Search results

  1. H

    Mohamed Mwameja hatomsahau Al-Haj Muhidini Ndolanga

    Hapa ndo tutawajua wahenga!
  2. H

    My mother is dying of Cancer

    Pole sana Paula and family. RIP Mama.
  3. H

    Wanawake mjiangalie unapovua nguo hovyo unapata hii

    Nakupa kongole mtoa mada kwa kutumia tafsida kwenye kichwa cha habari.
  4. H

    Kazi ya kibarua viwandani

    Sh 5,400 inaonekana ni ndogo, lakini siku ukiikosa unajuta kwanini hujaenda kazini ukaipate hata hiyo tu.
  5. H

    Kazi ya kibarua viwandani

    Sh 5,400 inaonekana ni ndogo, lakini siku ukiikosa unajuta kwanini hujaenda kazini ukaipate hata hiyo tu.
  6. H

    Serikali (NIDA) imefeli vibaya mno suala la vitambulisho vya taifa; kusubiri zaidi ya mwaka, vitambulisho vinapotea haviwafikii walengwa!

    Hivi inakuwaje ikiwa sijakifuata nilipotumiwa ujumbe? Nauguza mzazi wangu nje ya Dar. Niliitwa nikakichukue Dar.
  7. H

    Uamuzi wa Rais Magufuli kununua korosho wabamba Dunia nzima: Bei ya korosho yaongezeka kwa 10% katika masoko ya Dunia wakihofia zuio la Rais Magufuli

    Kwa Kiswahili, pound ni "ratili". Kipimo cha chini ya pound ni ounce, nayo kwa Kiswahili ni "wakia". Ratili 1 = wakia 16. Tulikuwa tunatumia vipimo hivi zamani (Imperial measures) kabla hatujabadilisha na kutumia Metric measures. Kwa vipimo vya urefu/umbali (length) tulitumia inchi, futi, yadi...
  8. H

    Walimu wanawadhalilisha watoto

    Nimekuwa nikijiuliza sana, hivi unapomdhalilisha mtoto wa mwenzio unaona raha gani? Mwalimu anayejihusisha na udhalilishaji wa watoto mitandaoni atakuwa hajui wajibu wake wa kufundisha na kulea. Huyo ni mwalimu wa MSHAHARA, sio wa WITO. Kama anayefanya jambo hili sio mwalimu, basi ni mshamba wa...
  9. H

    Je, unaamini kuwa uchawi upo?

    Huo ni uchawi au mauzauza?
  10. H

    Majina halisi ya watu mashuhuri

    Nasikia Jimmy Kabwe ni Jumanne Kabwela. Ni kweli au??
  11. H

    Wabunge wa Kigoma wana Matatizo gani?!

    Jamani, Kigoma tuna taabu, tuna shida, tuna matatizo. Imenichukua muda sana kufikiria namna ya kuchangia hii thread kwa jinsi nilivyo na uchungu maana sijui nianzie wapi. Kwa ujumla nimepata kigugumuzi hadi nikafa ganzi. Barabara zetu zinawekwa matope (wenyewe wanaita kifusi), baada ya hapo...
  12. H

    Siasa zinaingia makanisani. Ni maslahi au inakuaje?

    Mi naona na kucha tusikate, maana tutakuwa tunaingilia uumbaji wa Mungu. Au vipi Wakuu? Kwi kwi kwi!
  13. H

    Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

    Sanctus Mtsimbe, Asante kwa kutukumbusha mbali. Kwa kweli vituko vya JKT havisahauliki hata ipite miaka kibao. Nilikuwa Mafinga. Nakumbuka tulikuwa tunaambiwa kufanya mazoezi ya vita porini - usiku, eti kwa kuwa vita hupiganwa usiku. Tunapelekwa porini na hapo tunatahadharishwa kwamba kuna...
  14. H

    Mke wa PILI wa JK

    Wapendwa wanaJF, naomba mtu akosolewe kwa kutathmini hoja aliyotoa na si kwa idadi ya post. Mwanzo wa mia ni moja. Hata hivyo, kwenye pumba hapakosi chenga! Asanteni.
  15. H

    Vijana kuwachukua mimama!!

    Ni kweli. Everybody is special in his/her own way.
  16. H

    Tuvute subira kwanza kuipongeza serikali

    Kweli hii ni moja ya zile tamthilia kali za ki-TZ. Kwanza ni pale mtu alipopewa muda wa kushughulikia send-off na pili ni pale wanapopelekwa "keko" kwa VX. Tuwe macho. Tukishangilia sana watajua tumeridhika, watazima moto polepole. Tusiache kupiga kelele za "haki itendeke" maana usanii sasa...
  17. H

    Yona na Mramba: Mashtaka na yatokanayo

    Bubu Msemaovyo, hiyo presha anayokupa Mama Mdogo ni kuhusu hao vigogo au kitu kingine??!!??? Nimeingia wasiwasi.
  18. H

    My Wife Is So Naughty

    Mume bwege!
  19. H

    Wababa wengine bwana

    Endelea kuheshimu ndoa yako ndugu yangu. Huyo ni shetani anataka kucheza na wewe kisha akuache juani. Jirani ni sawa na ndugu. Usiharibu uhusiano wenu mzuri wa ujirani kwa fedheha. Hata kama utashawishika kwenda nje, basi sio kwa jirani. Siku vikijulikana utaona dunia chungu. Hakuna...
Back
Top Bottom