Mwanamke zaidi ya changamoto za kimfumo (umasikini wa muda; kukosa elimu ya shule na uzoefu wa biashara; kutokuwa na mali kwa ajili ya kuaminiwa na taasisi za kifedha; kutokuwepo kwenye nafasi zenye kutoa fursa za uhakika) kwa maoni yangu changamoto nyingine kubwa ni kujengewa dhana kwa muda...
Haya majadiliano kuhusu michango ya harusi ni mwanzo mzuri wa mwisho wa jambo hili. Ingawa nia ya kuchangiana ni kujenga mshikamano katika jamii na miongoni mwa wanajamii, hali inavyoendelea michango itachukua sura nyingine haswa pale wengio wanaochanga watakapogundua kuwa wanaokuza mila hii...
Communicative english can better be studied in a group of maximum two people. Understanding verbs has to be in functional context. if one is studying english for communication purposes, they need good speaking practice. At Tunsume Skills Training College we teach Communicative English courses...
Mama wawili je ulipata msaada wa kuboresha lugha ya kiingereza? kama la karibu kwetu Tunsume Skills Training Language Kunduchi Bahari Beach tumeanza madara ya kiingereza piga simu namba 0753087713
strategies should address systemic causes of bribery, deception and fraud. Some of the systemic causes are: lack of incentives/disincentives for engaging in bribery within public service. If for instance heavy penalties were imposed and enforced on government officials involved in...
Tunsume Skills Training college inatoa mafunzo ya lugha (kiingereza, kifaransa na kiswahili) kwa wanaohitaji kujitayarisha kukabili ushindani ema katika soko la ajira ama soko la biashara ndani na nje ya nchi. Kiingereza tunawaalimu wa cheti cha CELTA kutoka cambridge kupitia Edith Cowan...
Mawazo mazuri na ubunifu mzuri sana. Tupeni mrejesho mko wapi sasa na wangapi wamejitokeza. Kazi nzuri sana ya kujenga Tanzania kwa mitaji ya ndani na kwa wabunifu wa ndani
Very inspiring and teaching story. Honest is a virtue that is hard to come by in all of today's human settings. The biggest of all challenges is to embrace honesty in a global society that rewards and cherishes dishonest. A dishonest life that has embedded our society is now defended by all...
Dogo nimependa sana jinsi ambavyo umeingiza falsafa ya kutafakari kwanza kabla ya kuwekeza kwenye elimu ya juu. Hii ni safi sana na kitu kipya sana kwa jamii yetu ambayo haioni elimu ni uwekezaji kama uwekezaji wowote na lazima kuifnayia uchangunuzi wa kina kuangalia kama unalipa ama la, na kwa...
Binafsi nadhani kunamabadiliko makubwa tumeyapata kutoka kwa Dr Joh Pombe Magufuli. Na ninamatumain mengi yatakuja, ila ninapopishana na Rais wetu ni kuwa hawezi kuyalinda mabadiliko haya bila madiliko ya Katiba. Na katiba pekee itakaypolinda haya mabadiliko, hata kama ni kiduchu kama...
Ni kweli ndugu yangu pamoja na ukusanyaji kodi tunahitaji uzalishaji. Lakini kila jambo zuri linahitaji mahali pa kuanzia. Sielewi serikali hii ya Magufuli ingeanzaje kutilia maanani uzalishaji bila kuboresha huduma (public services). Na ili kuboresha huduma (public services) kunahitaji funding...
Certainly we need both West and Communist, however,JPM and Tanzania should first re-define our interest ad pursue these two as a means to an end and not otherwise . What is our Foreign Policy Today? For both West and Communist countries, economic cooperation is a central part of their...
Kabla ya kulipwa tufuatilie kama kuajiriwa kwetu kulifuata taratibu na kama tulikuwa na vigezo vya kuajiriwa? Kama watu tuliajiriwa tuu kutolewa barabani na wajomba, shangazi na wajomba zetu, kwanini umma ukulipe? Pili kabla hatujalipwa tuchunguzwe kiasi gani tumeshajilipa kwa wizi, udokozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.