CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Ikungi kimelaani vikali vitendo vilivyofanywa na baadhi ya vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa kata ya Puma ya kuiba bendera za chama hicho zilizokuwa zimetundikwa na kupepea kwenye milingoti yake.
Akithibitisha kutokea kwa wizi...
CCM yanadi serikali 2 misikitini
Na Mwandishi wetu
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kinadaiwa kuwatumia baadhi ya masheikh kuhubiri muundo wa muungano wa serikali mbili misikitini.
Kwa mujibu wa vyanzo vyetu, kampeni hiyo inasimamia na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ambaye...
Umenena vema, sio tu Mbowe alishangilia hapo, aliongeza kupiga makofi pale Kikwete aliposema usimuulize mwenzako tusemeje au umeambiwa tuseme nini, akamalizia kwa kusema kuwa za kuambiwa changanya na zako, kwa wenye akili hapo alikuwa hataki wajumbe wawe wanategemea kufundishwa waseme nini...
Heri Lema amehudhuria vikao vitatu, tunajua alikuwa anafanya kazi gani, tuambie Dewji anahudhiria lini? mbona Bungeni haende halafu nyie maCCM mnamtetea kwa kupata kafungu,
Mjumbe, amejiunga JF siku kumi kabla Mwigamba hajasimamishwa, wakati huo kulikuwa kuna stori kuwa Mwigamba atamlipua Josephine, yawezekana ndiyo ameyaleta leo....... aiseee.
MCHANA: Naona Polisi wanaendelea kuhaha, wanatumika kwenda kwenye nyumba ya dada aliyefanyiwa ukatili huo ili kutoa vitisho, na wanajaribu sasa kumwokoa mhindi aliyefanya ukatili huo, mhindi anamwaga pesa kwa Askari na anajisifu hapa nje ya kituo kuwa hatafanyiwa lolote, yupo bize na simu...
Nilikuwa hapa Singida tangu jana, nimekuja kuchukua gari, nikiwa maneo ya stend ya zamani, kulitokea msichana ambaye jina lake Safina analalamika kuwa kulikuwa na kikundi cha wanaume wenye asili ya kiasia, (wahindi) wanamlazimisha kufanya naye mapenzi, kwa mujibu wa maelezo ya Dada huyo ni kuwa...
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Lindi ambaye hivi karibuni alitangaza kuachia wadhifa huo, Ali Chitanda, ametangaza kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Alifikia uamuzi huo juzi kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM za udiwani wa Kata ya Namikango, Wilaya ya Nachingwea...
Kikao kiliitishwa na nani? Agenda za Kikao hicho alishauri nani? Nani alilipa pesa ya Ukumbi? Nani aliwalipa nauli za kurudi? Anayemlipa mpiga Zumari, Zeze au Kinanda ndio huwa anachagua Wimbo. Sheikh pamoja na Askofu huyo wanaimba wimbo uliochaguliwa na aliyewalipa.
NDUGUwasomaji, ninapenda sana kuwapa pole kwa kifo cha shujaa wa mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi Nelson Ndlahla Mandela. Kila gazeti, runinga na redio zimeelezea wasifu wake kiasi cha kufurahisha. Hata hivyo, mimi niseme tu kwamba kwa Mandela tunajifunza neno moja dunia nzima;
"hakuna...
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto, umeandikiwa barua na Chama chako, ulijitahidi kukwepa ili wasikupate ila walikupata ukapokea barua yenye tuhuma zako. Tuhuma zako zilitajwa ni 11, watanzania wengi hatuzijui ingawa jana gazeti la serikali Habari leo liliandika kuwa Udini, Ukabila na Uenyekiti...
Simiyu yetu kwa kuwa sijui umri wako umedhalilisha sana Jukwaa leo, Chadema hawajazungumza lolote au kuhusu Chitanda, au mambo ya Dk Slaa, au mambo ya Jikoni. Kaa na vitu vyako vya kutunga tunga, ila ungepata ban heshima ya jukwaa ingepanda ili tuwe tunapost vitu vya ukweli, heri ungeandika ni...
CHADEMA, wamemaliza mkutano wao na hawajajibu lolote la Chitanda kama ulivyotokwa na povu kuja kudanganya hapa, wamezindua rasimu ya sera ya mabadiliko ya Tabia nchi, na kutaka CCM itafakari kesho ili Bunge likianza CCM kama sio wanafiki wakawaunge mkono CHADEMA kusimamia serikali ili mawaziri...
Tatizo sio hizi pointi za kujisafisha kwa umma wa watanzania unaotaka mabadiliko. Zitto na Kitila watuambie, Mtera Mwampamba wa CCM, Mchange na Nyakarungu wa Masalia walikuwa wanatafuta nini kwenye mkutano wake, kwanini walikagua waandishi, kwanini walikuwa wanachagua watu wa kuwauliza maswali...
Dk Kitila ofisi yake ilihusika kuandaa matamko ya matusi yaliyotumiwa na Shonza na Mwampamba, UDASSA na Baadaye DUCE.
Zitto alihutumiwa kuwa mfadhili wa kundi hili lililojiondoa na kuhamia CCM kwa mapokezi yaliyofanywa na Rais wa Tanzania baada ya kufukuzwa bavicha
Mkutano wa Zitto na Kitila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.