Shida kubwa ni kuishi kwa hisia na kufanya maamuzi yatokanayo na hisia za watu. Benki zilizopokea pesa hizo zinajulikana na agency za serikali zilizokuwa zinaiba pesa hizi zipo. Ripoti ipi na ya nani imegundua nani na lini interest hizi zimeibwa.... Kuna watu humu hawajui chochote FDR...
CCM ni kama wanamkataba na Mungu kuwa kwa kipindi kifupi kijacho kiama kitafika!! Ni kundi la watu wasio na mtazamo kuwa Zanzibar na Bara viko hapa miaka mingi tu ijayo na kwa namna yoyote ile mambo yatabadilika tu!! Haijalishi ni leo au kesho! HIli la mwaka jana tu limekuwa mwiba mbaya na mkali...
Hilo labda linawezekana kwa shule za kata lakini siyo private schools ambako walimu wao wengine ni expert toka nchi nyingine na wanalipwa kwa makubaliano! Mimi ningependa kama pia huku kwenye ofisi binafsi kama nako watoe mishahara elekezi kwa ngazi zote otherwise ni kuua elimu ambayo kwenye...
YESU KRISTO hakuwahi kutetea uovu kama ule wa zanzibar!! labda yesu mwingine! watu wanaenda misikini na makanisani halafu wanatenda kama yale ya zanzibar na bado wanaitafuta mbingu ya haki!!
HIli la kuchungwa kama ng'ombe unalikomalia sana kama vile linaimpact yoyote katika mijadala humu jamvini!! hawa Mods nao naona wameshindwa kazi! Unawahudhi watu wanaotoa michango yao juu ya nini kifanyike na CCM na Ukawa ili bunge liwe sehemu tulivu kwa maslahi ya watanganyika!
Kwa hiyo wapo ambao hawakupiga kura kwa rais wa Jamhuri na wabunge wao! Kwa maana nyingine walipiga kura kwa zanzibar pekee au JAmuhuri pekee! Huu nao ni ulaghai wa wezi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.