Ni kweli Magufuri ni mchapakazi ila kaja wakati usiofaa,chama kisichofaa,its like Uhuru kenyata vs Kibaki Uhuru aligombea toka KANU wakenya wakasema kwa vile tunakupenda Uhuru ila hatuipendi KANU tutampa Kibaki,vivyo hivyo nasi Hatuipendi CCM Tutaipa UKAWA.
Malisa kwa kweli imenichukua muda kukuelewa na sasa nimekuelewa Jana pale nje ya Hospitali ya BURUHANI Nilimkuta muuza machungwa nikatamani kula nilipomuuliza Bei Akanijibu shilingi 500 chungwa moja.CCM Kwanini hamuoni hali hii kwani ahitawasumbua wasiokuwa wanaCCM BALI KILA Mwanachi ona leo...
Kwanza Maghufuri anataka urais nae wakati Barabara zote alizojenga ziko chini y kiwango,barabara zinapitika miezi mitatu mpaka sita kisha yanabaki mashimo tu,kuna kampuni moja ya ujenzi SKOL Kila barabara inayojenga haimalizi mwaka ,kwangu HAFAI KUWA Rais.
Zipo sababu nyingi zinazofanya niichukie CCM Nitakutajia chache
1.UTAWALA WA SHERIA -Chini ya utawala wa Serikali ya CCM Tumeshuhudia Sheria ikibagua wanaopenda CCM Wanapendelewa ili hali tuliokuwa kati tunaonewa mfano Familia ya MAREH mwangosi itaipendaje CCM wakati mpaka leo aliemuuwa BABA YAO...
ACT NI Chama cha Kifalme mtoto wa mfalme hahitaji kugombea nafasi ya Ufalme umri umefikia yeye kuwa mfalme,na Ufalme WA Zitto ZUBERR KABWE ni wakudumu. natumai sasa mmeelewe .
ACT -WAZALENDO.NI chama chake sio cha watanzania
hata kibajaji alisema ZITTO SIO MSAFI.
Mpaka kufikia OCTOBER TUTAKUWA TUSHAJUA WHICH IS THE CCM WAY TO GET INFORMATION FROM CHADEMA.ndio maana CCM Wanalia sana.UKIMFUKUZA hOUSE Girl wako watakao lalamika ni wale waliokuwa wanafaidika nae ukiwa kazini.
Kuna mambo Ya Msingi ya kuomba mdahalo,kati ya Warioba na Sitta juu ya ukweli wa katiba pendekezwa,
kati ya Benjamini Mkapa Na JK juu ya Mapato na matumizi ya Fedha za umma,
Zitto amefanya mengi lakini kwa sasa si Mwanachama wa Chadema,Mbowe ni kiongozi wa Chadema.nani mwenye mambo ya Msingi...
LUSINDE HIZO MBWEMBWE TU Ulikuwa wapi siku zote unangoja siku KINANA Anakuja ndipo unasema hayo mbona ulisema ktk sakata la ESCROW Serikali yako chini ya CCM Imefanya mengi pamoja na kuwabembeleza wananchi wajenge Maabara .
......Ulikuwa wapi muda wote wa ubunge,
.......Mwenzetu ,Ndugu yetu...
BWANA Twijuke,hapo hakuna kutekeleza majukumu bali ni kukosa weledi kwa jeshi la polisi ninachokiona mimi haya ni matokeo ya kuajiri watu wasiokuwa na wito .
Kwanza JESHI LA POLISI Limeajiri watoto wa viongozi ambao hawana wito wa kufanya kazi hiyo sio kila ukiambiwa piga unapiga
lazima kuwe...
BEN SAANANE Nakubaliana na wewe huyu KI mun ndio hao hao wanaotaka maga,mba yaandikwe kwa kusifiwa tu. Lowasa ni nanin kama ana mabaya wacha watu watueleze.namkumbuka Mzee Jasckson Makweta aliwahi kuwauliza wabunge humu ndani nani msafi ili tuanze kunyoshea kidole alie mchafu watu wote walikaa...
Nakuunga mkono nashangaa kwanini kila siku tunakuwa watu wa kuwanyenyekea tumajirani,kwanini hatutumii hizi Nafasi kujifunza na kujenga miundombinu imara,Kwanini kila siku tuunafikiria zaidi kuiba badala ya kujenga misingi imara kwa faida ya leo na kesho .nani alituroga ugonjwa wa kuona wivu wa...
.ENYI WANACCM Mnaoamini kuwa serikali tatu ni kuvunja muungano ningewaelewa sana mngekuja na wazo la kuwa na serikali moja ya Tanzania, kama Tanganika ilipoungana na Zanzibar ikazaliwa Tanzania ,why Zanzibar ilibaki mpaka leo?...Wakti mwingine nafikiri ILIKUWA NI KUBADILI JINA LA NCHI NA...
Serikali imechoka,Imeajiri watumishi wengi waliofoji vyeti hata utrendaji wao ni kisanii,kibabaishaji,Siamini kabisa kama pPonda ni threat kubwa zaidi wa wauzaji Madawa ya kulevya,sitaki kujua Ponda ni Hatari kwa Uchimi wa Nchi kama walenaouwa na kutorosha meno na tembo,Sipendi kusadiki kuwa...
Unaweza kuchangisha hela halamu kanisani,lakini huwezi kuongeza kura ukasaidia ushindi ktk Uchaguzi LEMA wewe ni kiboko ya EL.Wacha wajanja waendelee kula Hela yake Mwisho wasiku Mhesh.Lowasa atakuwa kama Tingatinga litengenezalo barabara kisha linazuiwa kuitumia.....
Hongera mleta Maada hii,nami naomba niongezee mtazamo wangu dhidi ya Utawala wa CCM,Viongozi wengi akiwemo Waziri mkuu anadhani Cheo alichopewa ni rungu la kuwalazimisha wapiga kura kufuata atakovyo yeye.Kauli alioitoa Bungeni dhidi ya Wahanga wa Mlipuko wa Bomu Kule Arusha Kuwa Ataendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.