wakuu lengo la rwanda hapo ni kuwa lazimisha wafanyabiashara wao wapitie mombasa, na kama hii ikishindwa tutegemee vikwazo zaidi, vita ni vita iwe ya maneno, matendo au uchumi
mkuu nimeangalia picha ulizoweka hakika wewe ni wa ukweli,
hila lile gari likiitwa HOMA YA JIJI/KITONGOJI bado linapiga mzigo? kama unapicha yake rusha baba.
Dah wewe umechanganyikiwa kweli mwanzo umeonyesha kama wazanzibar wamesema ktk badala yawamesema imekuwa amesema, bila shaka umeona ulete hoja ya kutunga ili upate 7000 yako.
Unafa kutunga vitabu vya hadithi so pumba zako ni tishio kwa shigingo sio chadema
Serengeti wakati wa uchaguzi ukabila unatawala sana, hii ni kweli ukubali ukatae. Wazee wa kimila uwalisha watu wao yamini ili wasipigie kula mtu wasiemtaka. Hili ni jambo wazi ndo maana tunakuwaga na wawakilishi wasindikizaji tu. Shame on us
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.