Wiki hii wameanza kulipwa mafao wamewekewa 25% mkupuo badala ya 50% ukiwauliza wanadai watakuja kuwaongezea nyingine huko mbeleni.Barua za mchanganuo Wa malipo hazielezi kuwa kilicholipwa ni sehemu ya malipo sasa watakuwa na base ipi ya kudai. Kwanini wanalipa kwa kikokotoo ambacho Rais...
Gar zenye usajir wa Zanzibar huwa zinaingia kwao kwa punguzo LA kodi ukiinunua ikifika bara ili usajiri upya kwa T lazima ulipe difference ya KODI ya msamaha.wanaangalia value ya gar ilitakiwa kulipa being gan wanatoa KODI iliyolipwa Zanzibar then iliyobaki unalipa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.