acha kuwa selective na comments zako nimesema in general hata majambazi wana bunduki tena za kivita,
unaweza kukuta baadhi ya viongozi wa vyama vingine vya kisiasa wanamiliki silaha kali, watu wengi tu wanamiliki silaha kihalali mimi nikiwa mmoja wao za kuwinda na za kujilinda, sasa kwa sababu...
hivi hawa wabunge wetu wamesoma chini ya mwembe nini? inakuwaje mtu anaruhusiwa kuropoka maneno ya machafuko yasiyo kuwa na facts zozote? hivi haoni majambazi kibao wenye bunduki tena mpaka za kijeshi?
hao ndio wanaoendekeza radio mbao!!!!
acha ushabiki wa kijinga, kasema pamoja na kwamba ulimboka sio muajiriwa wa serikali walimkubali awe kwenye kamati kwa sababu alichaguliwa na madaktari wenzaki in other words serikali ilikubali demokrasia pamoja na kwamba walikuwa na uwezo wa kumkataa kwa sababu si muajiriwa wa serikali ambayo...
hivi nyie mnataka rahisi kama mrema ambaye anakurupuka tu na kuongea bila kujua kina na kufuatilia sheria, mnafikiri ni mjinga? hawezi kuongelea jambo ambalo hana fact kamilifu, kamati zimekutana madocta wakasema tunaoenda kuongea na wenzutu turudi na jibu, instead wakagoma, nasikilizia response...
bro madakitari ni pumbavu, button gani wameanzisha? hivi wewe nani amewapa dhamana ya kuwatoa watoto na watanzania masikini kafara? hivi wewe kama mwanao angekuwa amefariki kwa ajili ya huu mgomo si ungekuwa wa kwanza kumteka huyo docta, watu wengi wasanii bongo hadi housigeli anaomba rushwa...
mazee u have a very good case, your chances of keeping mtoto wako ziko bout 80% if hivo vitu ulivyosema ni ukweli na una all the documents showing kwamba wewe ndio umemlea mtoto toka mchanga kwa sheria ya tanzania mtoto anaweza kwenda kwa baba yake baada ya miaka saba lakini kwa kesi yako...
sijawahi kusikia gari inaitwa Range Vogue Sport!!!! kuna range rover vogue and range rover sport, huge difference sport version is way cheaper than vogue, sasa hiyo bei aliyosema ya 165,000$ du sijui wameipataje, hata vogue na usafirishaji wake, ushuru na insurance na reg sio bei hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.