Laki tatu unatoboa vizuri tu na akina unaweka.....fanya hv nunua mchele kilo 15 @2200 =33000...ings kilo 10 @1300=13000 sukari kilo 1 = 2800 lipa umeme 10000 maji 5000 mafuta lita tano sh 23000 vyote hvyo jumla 86800.....inabaki sh 213200....mpe mkeo laki moja awe anapangilia mboga....inabak...
Mimi nilienda kiwandani pale ALAF....nilipo fika wakanishauri kuwa kiwandani tunapokea oda then ndio wanatengenea kwa mteja....pia mpaka kuja kupata zitachelewa pia bei ya kiwandani pale ALAF ni kubwa kuliko kwa mawakala wao....wakaniambia ukitaka kusubir subir lipia oda lakini kama unataka...
Hii ndio bati ya ALAF original....alama zake katikati ya mgongo moja na mwingne kuna njia tatu namaaisha migongo midogo mitatu.....hakuna kampuni yeyote ipo hvyo...kingine muhuri wa moto nyuma ya bati kingine muhuri wa kugonga ambao umeandikwa ALAF
Habari!!wana jamvi....naomba kupewa elimu zaidi kuhusu Utt amis.....na taratibu zake jinsi ya kujiunga na kufanya uwekezaji wake.....na benefit yake pia
Wametoa majina ya usaili bila kuwatumia message au kuwapigia simu wasailiwa...na kutoa kwenye mtandao wao tu .....wanadhani wote wanapata access ya internet wakati wote ili kuingia kwenye mtandao wao......Bila shaka watu wengi wamekosa kufanya usaili huu ...pamoja na mimi...au tayari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.