Search results

  1. Makaanji

    Dawa ya kuzuia mbao za paa kubunguliwa

    Mbao ni Mlingoti tu hakuna mdudu anagusa labda mchwa tu wadudu wa kizembe hawez chezea
  2. Makaanji

    Unatumiaje laki tatu kwa mwezi?

    Laki tatu unatoboa vizuri tu na akina unaweka.....fanya hv nunua mchele kilo 15 @2200 =33000...ings kilo 10 @1300=13000 sukari kilo 1 = 2800 lipa umeme 10000 maji 5000 mafuta lita tano sh 23000 vyote hvyo jumla 86800.....inabaki sh 213200....mpe mkeo laki moja awe anapangilia mboga....inabak...
  3. Makaanji

    Roho inaniuma sana, mabati niliyoezekea nyumba yangu yamepauka sana

    Hii ni Alaf original.....ina alama sahihi za bati la Alaf
  4. Makaanji

    Roho inaniuma sana, mabati niliyoezekea nyumba yangu yamepauka sana

    Mimi nilienda kiwandani pale ALAF....nilipo fika wakanishauri kuwa kiwandani tunapokea oda then ndio wanatengenea kwa mteja....pia mpaka kuja kupata zitachelewa pia bei ya kiwandani pale ALAF ni kubwa kuliko kwa mawakala wao....wakaniambia ukitaka kusubir subir lipia oda lakini kama unataka...
  5. Makaanji

    Roho inaniuma sana, mabati niliyoezekea nyumba yangu yamepauka sana

    Kama rangi za kiboko ni nzuri kwanini bati zao zinapauka haraka sana
  6. Makaanji

    Roho inaniuma sana, mabati niliyoezekea nyumba yangu yamepauka sana

    Hii ndio bati ya ALAF original....alama zake katikati ya mgongo moja na mwingne kuna njia tatu namaaisha migongo midogo mitatu.....hakuna kampuni yeyote ipo hvyo...kingine muhuri wa moto nyuma ya bati kingine muhuri wa kugonga ambao umeandikwa ALAF
  7. Makaanji

    Mwenye elimu zaidi kuhusu UTT AMIS

    Habari!!wana jamvi....naomba kupewa elimu zaidi kuhusu Utt amis.....na taratibu zake jinsi ya kujiunga na kufanya uwekezaji wake.....na benefit yake pia
  8. Makaanji

    Msaada wa program ya MyOB

    Msaada wanajukwaa mwenye program ya account ya MyOB naomba anisaidie.....kama ipo kwenye torrent yeyote naomba hata link....but iwe vizur
  9. Makaanji

    Nataka kununua kiwanja, ila kwanini viwanja vya Chanika ni bei rahisi hivyo?

    hzo zinaitwa JENGA UZA...Hazina ubora ....mtu anajenga fasta tu .....cement hawek kwa viwango...so baada muda mchache zinakuwa mbovu
  10. Makaanji

    Malalamiko kwa NIT (National institute of Transport)

    walitakiwa kutuma message...nini maana ya kuweka namba za simu...
  11. Makaanji

    Malalamiko kwa NIT (National institute of Transport)

    Wametoa majina ya usaili bila kuwatumia message au kuwapigia simu wasailiwa...na kutoa kwenye mtandao wao tu .....wanadhani wote wanapata access ya internet wakati wote ili kuingia kwenye mtandao wao......Bila shaka watu wengi wamekosa kufanya usaili huu ...pamoja na mimi...au tayari...
  12. Makaanji

    NIT wanashort list lini matokeo ya usaili

    Wadau naomba kuuliza kwa yeyote anayemfahamu lini watashort list.... Au tayar wameshort list
  13. Makaanji

    CHADEMA wazalendo wakubali kushindwa

    Magufuli ndio rais wangu
  14. Makaanji

    Msichana wa stationery anahitajika Kinondoni

    Kuna mdada yeye anakaa magomen mwembechai, vipi nikuunganishe nae
  15. Makaanji

    Naomba msaada wa ofisi za Tan Trade

    Habarini, naomba kueleweshwa ofisi za Tan Trade ambazo zipo kilwa road. Zipo maeneo gani!! Nashuka kituo gani cha daladala ili kufika!! Asanteni sana
  16. Makaanji

    Ajira Utumishi - Recruitment portal

    Hiyo barua umeambiwa iwe kwenye Ms word au pdf, so sio lazima kuforce pdf wakati word pia ruksa
  17. Makaanji

    Ajira Utumishi - Recruitment portal

    Mimi yangu imefika 76 %
Back
Top Bottom