Kwani ni mara yake ya kwanza kwa kutoa kauli zenye utata?
1. Ninawafahamu na nitawataja viongozi wote wanao uza madawa ya kulevya!!
2. Ni marufuku kwa wabunge wote kuja Dar wakati vikao vya bunge vinaendelea huko Dodoma!!
3. Ni lazima kwa Wanaume wote wa Dar wakapimwe tezi dume!!
Tatizo hapa ni kwamba, hawa TANESCO hawatowi taarifa kwa Umma ikielezea chanzo na sababu ya kukatika umeme mara kwa mara. Na hii inapelekea kwa wateja kuwa na dhana potofu kwa TANESCO.
Tofautisha Kati ya kusikiliza kero za Wananchi ambalo ni jambo la msingi na kuwa summon Mawaziri na kuwapa ultimatum hadharani, Serikali duniani kote zina utaratibu wake maalum wa kujiendesha.
Hivi wewe umebadilika lini.
Mbona zamani enzi za Mwl. Nyerere alipo vunja uhusiano na Israel juu ya suala la Palestine ulikuwa kimya.
Wacha unafiki umekwishwa kuwa mtu nzima sasa.
Mkuu:
Ukipata nafasi pitia nyaraka za KUWAIT FUND for Development, na ARAB FUND FOR ECONOMIC AND DEVELOPMENT utapata picha halisi ya ufadhili wao hapa nchini.
Mkuu:
Ifahamike kwamba hii ilikuwa "Pre-Planned exit ya Yevgeny Prighozin na kundi lake la Wagner kutoka Bakhmut-Ukrain.
Tujiulize kauli zenye utata za Putin kwamba:
.... Yevgeny Prigozhin ni mhaini lkn amefutiwa mashtaka.
.....Wahaini lazima watashughulikiwa ipasavyo.
.....Warner Group...
Mkuu:
Nafikiri hoja yako, ni kweli tukifuatilia vyombo vya habari (Al-Hazeera) imeripoti kuwa tarehe 23-26 June 23 Viongozi wa juu wa US wamekuwa wakifanya mawasiliano ya mara kwa mara na Kremlin kuhusiana na kadhia hii ya huyu kiongozi wa Warner Group Yevgeny Prighozin.
Mkuu:
Tukirejea kwenye uhalisia.
Ikiwa TPA kwa sasa ufanisi wake ni makasha 600,000 kwa mwaka na huchangia kwenye pato la Taifa kwa mwaka kwa asilimia 35%.
Na DP World atakapo anza ufanisi wake inategemewa kufikia makasha 2,000,000 hivyo atamzidi TPA mara 3.33 zaidi na kupelekea kuchangia kwenye...
Mkuu:
Ni kweli unacho ki-elezea. Miaka 15 ya nyuma aliwahi kuja muwekezaji mwenye asili ya Asia, kwenye sekta ya usafirishaji (Reli) kwa jina la RITES.
Lkn kutokana ufanisi mbovu, ilibainika kuwa sio ile RITES yenye uzoefu iliyopo INDIA.
Kumbe alikuwa ni Muhindi wa hapa Tanzania amewachukuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.