muundo wa E umepitwa na wakat pia kwani mwaka jana july wametoa muundo mpya ambapo wakufunzi wataanzia F badala ya E (japo huo muundo wa E inasemekana hawakuwahi kuutumia, ulikuwepo jina tu na walikuwa wanaendelea kulalamika kuanzia kwao D kama wa sek). Huu muundo mpya wa kuanzia F umekuja baada...
tatzo pia walimu wenyewe wengi hamjui mnachodai, kwa mf. nani kakwambia hao walimu walitakiwa kuwa B,C & D-3 wkt wameajiriwa 2011 na mwaka huu bado ni 2013/14. unajua kwamba mfnykazi akiajiriwa anakuwa ktk majaribio c zaidi ya mwk 1?. Je, wajua kwamba serikali ikiongeza mshahara ktk mwaka...
cyo umuhimu wa cwt kwa walimu wa tanzania ishu ni umuhimu wa chama cha wafanyazi kwa wafnykz. Kujua umuhmu wake, taratibu zake nk soma SHERIA YA AJIRA NA MAHUSIANO KAZINI, NA.6 YA MWAKA 2004
Kuna watu wanasema eti wajawazito wawili wakikaa sehemu moja LAZIMA mmojawapo kati yao ajifungue kwa upasuaji na mwingine atapoteza mtoto(miscarrage). kuna mtu anasema ilimtokea mwaka jana na kabla ya hapo alielezwa na mama mkubwa wake akapuuza. kuna ukweli wowote wadau?
Halaf c lazma kuwa mwanachama wa chama chochote cha wafanya kazi, hata hivyo kutokuwa mwanachama wa chama HAKUTA KUFANYA USIKATWE MAKATO(utakatwa kiwango cha chini kdg ya kiwango wanachokatwa wanachama halisi). kiwango hicho kinaitwa FEDHA YA UWAKALA, na itakuwa na matumizi tofauti na zile za...
Kwa mujibu wa Kifungu cha 61 (1) cha SAMK, mwajiri
atawajibika kukata makato ya chama kutoka katika mshahara wa
mfanyakazi endapo mfanyakazi atakuwa ameidhinisha makato hayo
kwa kujaza fomu maalumu (prescribed form), na kuyawasilisha katika
chama cha wafanyakazi alichochagua kujiunga nacho. Fomu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.